Jamaa kadokeza walikuwa wanatokea poriniUnaweza kukuta DRC congo, Rwanda,Burundi, Uganda wote hao wametushinda demokrasia ujue sio utani, tunaweza kujisifu uchaguzi wa amani kumbe hua kuna mambo ya kutisha
Kabisa kakaK Vant ndiyo maana inaitwa toboa tobo au buyu kavu halifichi mbegu, ikichanganya kichwani lazima ya moyoni yatoke tu tena bila shuruti.
Wewe una cheo ganiKwa hii nchi yetu mtu mpaka unazeeka hujateuliwa hata umonita basi utakua na shida kubwa sana.
Atatengua wangapi kama kila mmoja atatoka hadharani na kuanza kuuongea ukweli? Ukweli haufichwi kwa kutishia kuwaondoa watu kwenye nafasi alizowapa.
Ukipata neema ya kuwasikiliza hawa jamaa, level of incompetency waliyonayo ni kubwa kiasi kwamba unaweza jiuliza wamepataje hizo nafasiHii ni ishara kua Tunaviongozi wasiosmart kichwanii wengii Sanaa. Hivi Nape juzi tu mdomo wake ulimpoza ukaona,hiki nacho kimelopokaa,ivi unashindwa kuplay smart🤣🤣🤣
Aliongea ukweli wanavyofanya huko maporini ndio maana wanapata hizo teuzi.. bado yajayo yanafurahisha.
Jini kwa jino😂Hivi hakunaga msamaha
Amesema ukweli, but at the worng time
Ccm mbele kwa mbeleUnaambiwa mpaka sasa walishamaliza kila kitu yatayofuata ni kiini macho tu
Ni wakati muafaka huu. Kwa muda uliobaki kuelekea uchaguzi mkuu, rais mwenyewe atatoa kauli zitakazo mlaszimisha kujitoa kugombea.Amesema ukweli, but at the worng time
Yeye mwenyewe anafanya ujinga.Mh.Rais havumilii ujinga....
Kudos mh.Rais SSH[emoji2956]
Hakuna ambaye hajui hilo.hao wanajidanganya tu kwakufukia kichwa chini uku mwili uko nje.niswala la muda tu kabla tanga halijatundikwa.Anatumbuliwa kwa kusema ukweli?
Mkuu wa wilaya amesema ukweli, Nape alisema ukweli, Samia hataki watu wajue ukweli.
Ujinga upi wakati yeye yumo kundi ulilolitajaMh.Rais havumilii ujinga....
Kudos mh.Rais SSH[emoji2956]
Magufuli alikuwa shetani katika sura ya binadamu. Halafu mlikuwa mnasema Magufuli alishinda kwakuwa alikuwa anakubalika sana, wakati uchafu katika uchaguzi ule haukuakisi kukubalika kwake.Wataanza kuchunga makanwa yao..walisahau ya Nape...