Pre GE2025 DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unaweza kukuta DRC congo, Rwanda,Burundi, Uganda wote hao wametushinda demokrasia ujue sio utani, tunaweza kujisifu uchaguzi wa amani kumbe hua kuna mambo ya kutisha
Jamaa kadokeza walikuwa wanatokea porini
 
Kutoa Siri ya kambi ni kosa kubwa sana, hasa Kambi ya wachawi 🥰🥰🥰😂😂 lazima wakunyonyoe tu ha ha ha ha
 
Anatumbuliwa kwa kusema ukweli?

Mkuu wa wilaya amesema ukweli, Nape alisema ukweli, Samia hataki watu wajue ukweli.
Hakuna ambaye hajui hilo.hao wanajidanganya tu kwakufukia kichwa chini uku mwili uko nje.niswala la muda tu kabla tanga halijatundikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…