digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Asante mama,nakuelewa sana,sio mitano tena Bali mikumi kabisa inakufaa,hii ndo maana halisi ya utawala wa sheria ,God bless you mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui karma ya kuua lazima aongee yule mwingine anashinda kuombewa tu bila kusema alikosa nini..Upi?
Jini kwa jinoHivi hakunaga msamaha
Yatawatokea huko huko mbele.. Nyambilisi hawaCcm mbele kwa mbele
Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.Hivi hakunaga msamaha
Mpango upi, wa kuwafukuza wasemao UKWELI, na kuwaacha wabubujikwao na machozi ya kusifiasifia uongo?!Ndio mtindo unaofaa kwenda nao!
Hajaropoka kasema kweli tupu
Safi sana. Hata huko CHADEMA huwezi kuropoka ukaachwa tu.
Tatizo ccm haipendi watu waseme ukweli!Alizingua na kauli zake
Na yeye Samia alisema ukweli ndio maana hakuna aliyemfukuza.Aliyemfukuza sio yule alisema hata msipoichagua Sisiemu ni lazima itaunda serikali? Au hapo hakuropoka?
Ila alijua pia what will happen nextHajaropoka kasema kweli tupu
Wako walioandika na vitabu baada yakutoka madarakani.Ukweli nisawa na haja,utavumilia ila huwezi kutulia hadi uitoe.Atatengua wangapi kama kila mmoja atatoka hadharani na kuanza kuuongea ukweli? Ukweli haufichwi kwa kutishia kuwaondoa watu kwenye nafasi alizowapa.