DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

Kama Jaji akijifanya hamnazo na akaamua kuwa hawa watu wanne "WANA KESI YA KUJIBU"...

Basi, iwe isiwe, wote waliokwepa kuja kutoa ushahidi kuthibitisha makosa ya washitakiwa kama waleta mashitaka [Jamhuri], then wajiandae kuwa mashahidi wa upande wa utetezi....

That means, hawajakikwepa kizimba cha mahakama. Na hata chief Hangaya kupitia kwa AG wake ajiandae kuja kujibu maswali kizimbani....

Mpaka hapo, one can easily predict what would be maamuzi sahihi ya Jaji Tiganga siku ya Ijumaa tarehe 18/2/2022 yatakuwaje...

To cut it short, ni kuwa, THE GAME IS OVER....!!
Daaah, nimesikitika sana, nilitamani hawa watu wanne wajitetee, ili tujue kilichotokea tangu mwanzo hadi wanafikishwa mahakamani, Jaji Tiganga akimaliza hii gemu ijumaa, atakuwa ametukatili sana wananchi. cc Kamanda Asiyechoka
 
Legal language sijui ni kwanini inakuwaga ngumu kueleweka kirahisi...

May be because, it doesn't strictly follow the grammatical rules...

Mfano kuna sehemu nimesoma na kuona imeandikwa;

"to found" badala ya "to find". Nikadhani imekosewa lakini the fact is that hakuna kosa hapo, ni legal language hiyo...!!

Hapa wengine hawajaelewa kwa hakika..

Ikiiwezekana, jaribu kuweka version ya kiswahili ya kifungu hiki cha sheria nadhani itakuwa CPA....
To found ni kuestablish something,haina uhusiano na find.Found past tense yake ni founded.
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi 😀😀😀😀 hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Hujaacha tu kukomenti ukiwa msalani?
 
Back
Top Bottom