Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Eeeh poti katangulia..Manumba kafariki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh poti katangulia..Manumba kafariki?
Kwa mjibu wa taarifa zipo hivyoManumba kafariki?
Hakubambikia watu Kesi kwa maagizo kutoka juu?Mkurugenzi mstaafu wa makosa ya Jinai DCI Robert Manumba amefariki dunia usiku huu.
Taarifa zaidi zitakuja hivi punde
View attachment 1917268
Kwa akili za huko unadhani mtaishi milele? Endeleeni kukejeli vifo vya wenzenu kisa mnatofautiana kiitikadi Hadi yakiwakuta ndo akili zitawakaa sawa.Kashindwa kabisa kukibambikia mashitaka kifo?
Naona wanasayansi wa Mbowe mko vizuri, vijidudu Elfu 50 vya malaria?kuna wakati aliwahi kuugua malaria kali iliyofika hadi eti vidudu elfu 50 , inasemekana aliponea Johannesburg .
Nin cha ajabu?Manumba kafariki?
SidhaniAlipata chanjo?
Kashindwa kabisa kukibambikia mashitaka kifo?
Twa polagha, Mapole gha bhose.Bhageshi mapoleni sana ...
Vp alihudumu enz za kuku ngendu wa chato au enz za vasco jakaya gama?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app