Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Golikipa wa Man Utd, David De Gea anadai kuwa timu yao itakuwa imepewa laana na ndio maana haifanyi vizuri kwasasa!
Sijui tunachokifanya kwasasa, matokeo yamekuwa mabaya siku mpaka siku, nafikiri kuna mtu atakuwa ametupa mkosi/laana, aliongeza De Gea.
Una maoni gani kuhusu kauli ya De Gea? Unamuunga mkono au laah...
Sijui tunachokifanya kwasasa, matokeo yamekuwa mabaya siku mpaka siku, nafikiri kuna mtu atakuwa ametupa mkosi/laana, aliongeza De Gea.
Una maoni gani kuhusu kauli ya De Gea? Unamuunga mkono au laah...