De Gea adai Man Utd wamepewa laana

De Gea adai Man Utd wamepewa laana

Ili Man ipate mafanikio wachezaji wafuatao ama waondoke au wasipewe number, Pogba Rashford, Maguire na Luke Show hawa ni mzigo.
 
IMG-20220213-WA0000.jpg
 
Golikipa wa Man Utd, David De Gea anadai kuwa timu yao itakuwa imepewa laana na ndio maana haifanyi vizuri kwasasa!

Sijui tunachokifanya kwasasa, matokeo yamekuwa mabaya siku mpaka siku, nafikiri kuna mtu atakuwa ametupa mkosi/laana, aliongeza De Gea.

Una maoni gani kuhusu kauli ya De Gea? Unamuunga mkono au laah...

View attachment 2116434
The curse contunes…
 
Kama DeGea anaamini kikosi walichonacho nichakupata matokeo ya maana yeye ndo atakua na matatizo yakufikiri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Inawezekana kukawa kweli Kuna Laana, Mbona Simba Wana kikosi Cha hovyo na wameingia makundi
Kuna vitu pale Man U havieleweki.
Kama makocha wamebadilishwa Sana,kama wachezaji wazoefu Tena waliowahi kufanikiwa wamepita wengi, kama wachezaji vijana ndio wanao Sasa kama uongozi umesha badilishwa havieleweki shida Nini.
Simba Wana Mangungu anaye lalamikiwa na baadhi ya mashabiki lakini haifanyi vibaya kama man u.
 
Inawezekana kukawa kweli Kuna Laana, Mbona Simba Wana kikosi Cha hovyo na wameingia makundi
Kuna vitu pale Man U havieleweki.
Kama makocha wamebadilishwa Sana,kama wachezaji wazoefu Tena waliowahi kufanikiwa wamepita wengi, kama wachezaji vijana ndio wanao Sasa kama uongozi umesha badilishwa havieleweki shida Nini.
Simba Wana Mangungu anaye lalamikiwa na baadhi ya mashabiki lakini haifanyi vibaya kama man u.
Hakika aliekutoa bikra huwez msahau kamwe
 
Back
Top Bottom