Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
InawezekanaLisemwalo lipo...
Huu ndio ukweliWakubali tuu saa hivi timu ya kawaida sio ya makombe
Hahahawapewe tu si wanajiita mashetani wekundu ...na kweli shetani kapiga kambi hapo
shida ni safu ya ulinzi yaani ipo ipo tu hasa huyo magair
DaaahUtopolo wa kimataifa
Kwanini mkuuMchawi ferguson tuu
Tangu alivyotoka yeye kila kocha akija pale majanga tuu....labda arudi yeye mwenyeweKwanini mkuu