Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #21
Hahaha atakufa kwa presha maana Sir Alex ana midadi sanaTangu alivyotoka yeye kila kocha akija pale majanga tuu....labda arudi yeye mwenyewe
Hawezi fudi maana pep atafanya ateteme tena🤣🤣🤣🤣Hahaha atakufa kwa presha maana Sir Alex ana midadi sana
Bora ile slogan ya Liverpool ya YOU WILL NEVER WALK ALONE imekaa vizuri sanaTimu yenyewe inaitwa red devil ,Sasa unategemea Mkono wa Mungu usimame hapo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lakini Yanga Anaongoza Ligi Na Hajafungwa Mpk Sasa Sio Kama NyieMani yuu Ni Yanga /Utopolo iliyochangamka.
Maguire.....shida ni safu ya ulinzi yaani ipo ipo tu hasa huyo magair
Enzi zake zipo ukingoni.
Uliangalia mechi au umeona tu picha?
Jibu kama swali lilivyouliza, kuangalia kwangu mechi haikuhusu sana weweUliangalia mechi au umeona tu picha?
Huyu ndio kaja kuwapa gundu huyu
Kamuulize sasa Ronaldo.Jibu kama swali lilivyouliza, kuangalia kwangu mechi haikuhusu sana wewe
[emoji23][emoji23]Wazungu na wao wameanza kuamini uchawi kama Yanga?
Inashiriki na kombe la shirikisho km Simba.Lakini Yanga Anaongoza Ligi Na Hajafungwa Mpk Sasa Sio Kama Nyie