christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
NakaziaLisemwalo lipo...
The curse contunes…Golikipa wa Man Utd, David De Gea anadai kuwa timu yao itakuwa imepewa laana na ndio maana haifanyi vizuri kwasasa!
Sijui tunachokifanya kwasasa, matokeo yamekuwa mabaya siku mpaka siku, nafikiri kuna mtu atakuwa ametupa mkosi/laana, aliongeza De Gea.
Una maoni gani kuhusu kauli ya De Gea? Unamuunga mkono au laah...
View attachment 2116434
Inawezekana kukawa kweli Kuna Laana, Mbona Simba Wana kikosi Cha hovyo na wameingia makundiKama DeGea anaamini kikosi walichonacho nichakupata matokeo ya maana yeye ndo atakua na matatizo yakufikiri.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakika aliekutoa bikra huwez msahau kamweInawezekana kukawa kweli Kuna Laana, Mbona Simba Wana kikosi Cha hovyo na wameingia makundi
Kuna vitu pale Man U havieleweki.
Kama makocha wamebadilishwa Sana,kama wachezaji wazoefu Tena waliowahi kufanikiwa wamepita wengi, kama wachezaji vijana ndio wanao Sasa kama uongozi umesha badilishwa havieleweki shida Nini.
Simba Wana Mangungu anaye lalamikiwa na baadhi ya mashabiki lakini haifanyi vibaya kama man u.