wameshapewa na lile daftari la wapiga kuraList ipo na wanachadema watapewa...
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi vyama vyote vinatakiwa vipeleke majina ya mawakala wao kwa ajili ya viapo siku saba (7) kabla ya uchaguzi na kesho ndo siku yenyewe ya kuwasilisha majina na viapo.
Sisikii mikakati ya CHADEMA katika hili maana kosa moja hapa linaharibu mchezo mzima.
Sijajua pia wamejiandaa vipi kuhakiksha usalama wa mawakala kwa siku hizi saba na pia kuhakikisha kila wakala anakidhi vigezo vyoteili isitokee hata mmoja wa kunyimwa kiapo.
Nawasilisha.
Acha uongo kiwango ni kikubwa.laki moja kwa siku ni pesa ndogo? Na wanalipwa kwa siku saba .Laki saba ni pesa ndogo?Usitake kupotosha nilichosema, huyo kiazi anasema viongozi vwa cdm wameshaweka ndugu zao, nikamwambia ni pesa gani ya maana mpaka aone ni deal sana ya kuitia ndugu? Ni kweli watu wana ugumu wa maisha, lakini hata wakiipata ni kipi cha maana wanaweza kufanya na hiyo posho, zaidi ya kununulia vitumbua? Au hiyo itawawezesha kufungua biashara ana kujenga nyumba?