Deadline ya 'second round application' kwa TCU ni lini?

Deadline ya 'second round application' kwa TCU ni lini?

Kama ilivokuwa imetanabaishwa awali suala la second round ni first come first served so hilo suala lako hapo juu huwa linatokea incase baadhi ya course zile slot zilizokuwepo zimekwisha so huwa inatoka kwenye zile options....i hope nimejibu swali lako
Mbwiga Acha Uongo Wewe Ni Mwanafunzi Wa Chuo Kama Mimi Tu Habari Za Tcu Unapata Wapi Kama Sio Unafiki Hata Mwaka Jana Ulijifagilia Hivi Hivi Ila Mwisho Wa Siku Nikaweka Mambo Yako Wazi Nafikiri Unanijua Vizuri Mimi Ndio OIL SUMU FROM MUCE Mwalimu Kwa Mfano
 
Baada ya kuadimika kwa muda kidogo kutokana na kazi....sasa Mbwiga88 nimerudi tayari kwa majukumu yangu ya kuhabarishana na wana jamvi humu ndani...kwa wanaonifahamu vizuri wanatambua mchango wangu katika ku wa update na habari mbalimbali za TCU na selection za vyuo hapa jamvini mnamo mwaka 2013.......in 7 days from now nitakuwa nawaletea habari kutoka ndani ya TCU as they happen.....kwa sasa nakaribisha maswali and any queries...i will be happy to help in any way possible.......my Reputation preceds me....

Man mwiga88 naomba unisaidie kitu 1 Jana nilufanya 2nd selection nikaambiwa kuwa nimekuwa selected but now nafungua akaut angu afu naambiwa eti sijawA selected so nimeambiwa et nirudie tena. Unanishaulieje mana hata coz zenyewe sijaona data 1ya kuchagua
 
Back
Top Bottom