Deal Done:Aishi Manila asaini miaka miwili Simba SC

hapo hamna kitu...
 
Karibu sana Manula katika "nyumba ya makombe". Tuna imani kubwa nawe.
 
kapombe nae karudi nyumbani,,hii timu mwakani inabeba confederation,,..natamani msimu uanze hata kesho kwa hili chama lilivo,,na za chinichini ni kwamba bado kuna mengi yanakuja sababu mo mwenyewe kaamua kusimamia usajili ukiplus mahela hela ya wadau wengine,,bas wanasimba kicheko tu msimu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…