Deal Done: Feisal mambo safi

Deal Done: Feisal mambo safi

Yanga wamepita mule mule kwenye mkeka nilioleta juzi. Hapo sikuweka zile tiketi zilizokuwa zinanunuliwa kwa hiyo Yanga bado mna deni, chungeni mnaweza mpoteza na Mayele muda wowote.

Gharama za Algeria na kurudi = 200,000,000
+
Ndege hadi Mbeya 30,000,000
+
Ubwabwa wa Ikulu = 20,000,000
+
Goli la Fainali kwa Mkapa = 20,000,000

Jumla = 270,000,000

Gharama za kumuachia Feisal Salum = 270,000,000
Hivi mnajua mnachoandika lakini, sasa hapa point yako Ni nini.
 
Yamebana weeh yameachia,mama kapiga shuti moja golini , injinia msomali chalii🤣🤣chezea kurudi Somalia wewe, Tanzania kuzuri asikwambie mtu.
Ohhh dogo tutamharibia maisha,kiko wapi Sasa? Utopolo hoyeee🤣
Chomoa utakunya kitandani.
 
Yamebana weeh yameachia,mama kapiga shuti moja golini , injinia msomali chalii🤣🤣chezea kurudi Somalia wewe, Tanzania kuzuri asikwambie mtu.
Ohhh dogo tutamharibia maisha,kiko wapi Sasa? Utopolo hoyeee🤣
Sisi makolo tulishadadia tukijua anakuja kwetu! Kumbe hamna😢😢
 
Wale ndezi wa umbumbuni waliokuwa wanapiga domo kwamba anaondoka bure kiko wapi sasa? 270milioni imewatoka na ule uhuni wa fei kuweka 112 kwenye account ulikuwa ni uhuni wa kizamani sana, kwanza walitakiwa watoe 300milioni ndiyo thamani ya fei but kwakuwa ni heshima ya Rais imewaokoa na wajifunze kufata utaratibu wa usajili, pia wameepuka kushtakiwa fifa kwa kumrubuni mchezaji aliye ndani ya mkataba halali na klabu yake kwakuwa jambo limeisha kibusara zaidi nje ya utaratibu wa kimpira vinginevyo pasingetosha!
 
Kama alivyokula pesa za mbumbumbu wa makolo mlizomchangia aende CAS.

Wajinga ndio mliwao.
Msaada usipotoka moyoni aliyeutoa hudai malipo.

Ila sisi tumeridhia kutoka moyoni kama tulivyoridhia kwenye ile session yenu ya kutembeza bakuli pale jangwani.


Sio kwasababu mpo chini ya GSM basi tuanzishe kampeni ya kudai michango yetu.

Noo. Hatuwezi kuwaomba mrudishe michango kwasababu hatukuwakopesha kwamba siku mkipata tajiri mje mturudishie.
 
Back
Top Bottom