Deal Done: Kiungo wa GorMahia Fransic Kahata asaini Simba SC

Simba inatatizo kwenye Difence, ili lina fahamika sasa kama wanaendelea kusajili viungo na Difence inavuja tutegemee Kichapo cha goli tanotano Kuendelea.
 
Simba inatatizo kwenye Difence, ili lina fahamika sasa kama wanaendelea kusajili viungo na Difence inavuja tutegemee Kichapo cha goli tanotano Kuendelea.
Usajiri haujaisha
 
Simba inatatizo kwenye Difence, ili lina fahamika sasa kama wanaendelea kusajili viungo na Difence inavuja tutegemee Kichapo cha goli tanotano Kuendelea.
Usajili bado afu hizi ni tetesi tu, simba inafanya usajili kimyakimya, !! Itafahamika siku wakiwa kambi au simba day!! So tulieni na tuwaamini viongozi wetu
 
Sasa ni rasmi mchezaji wa timu ya taifa ya kenya Kahata amemwaga wino kwa mabingwa wa TPL SSC
 

Attachments

  • FB_IMG_15622509947272271.jpg
    39.2 KB · Views: 19
Kwaiyo simba kamaliza wachezaj 10 akiwa n zana au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…