Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hilo mbumbumbu ungeliacha kwa kulipotezea tu Mkuu!Huko shuleni ulienda kusomea ujinga?
Kwani hakuna vipimo vya afya vinavyomlazimisha mtu kupima urefu???
Kwa faida yako tu ni kwamba hicho kipimo cha urefu pia ni kipimo cha afya ili kubalance uzito na kimo chake ili kutoupa mwili kazi kubwa ya kuhimili uzito wa usiotakiwa.