REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Hahaha ukweli mchunguHapo unawachokoza wazee wa njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ukweli mchunguHapo unawachokoza wazee wa njaa
Hahaha watuvumilie tu sababu hiyo ndio hali halisi Tanzania tunapaa mpaka keroUnatafuta zogo
Ndio maana mleta hoja katumia neno viewers sio kwa bahati mbaya. Kuna tofauti kati ya users na viewers, hatuwezi kujua wingi wao kwa sababu wanachungulia tu mara moja hawafanyi chochote. Hivyo basi huenda ni kweli kuna wengi wasio kuwa EA JF members ila wanatatizwa na lugha inayotumika.
Huwezi changia bila kuchokozaYour English is limited hata viewers lipo grammatical correct kwani aliowalenga hawatumii JF sababu ya language barrier so the forum is not useful for them.
Wakenya Hamjui English wala Swahili mnajua tu kikikuyu mkiongea English lafudhi ya kijaluo au kikamba ni kichefuchefu
Haha hao jamaa wanazamiaga tz kinyemela kwa wingi sana,kale ka ka operation ka watz kanaitwaga op-kimbunga kana wafagiaga kwa wingi sana, huyu jamaa atakuwa kwa ss hana ndugu apo tz, walishafurushwa hadi palee bujumbura, sijui jamaa anaponea wapi huyu...ila siku atadakwa lazma anyeee ndoo apo kisutu miezi kadhaa afu alete kamrejesho humu[emoji3] [emoji191]Hehehe ila hao Warundi akina MOTOCHINI washa ukana uraia wao, maana Tanzania kuna ka-operation huwa wanafanya ka kuwafukuza wageni waliozamia kiharamu na kukatalia humo haswa wakimbizi kutokea Burundi.
Haha hao jamaa wanazamiaga tz kinyemela kwa wingi sana,kale ka ka operation ka watz kanaitwaga op-kimbunga kana wafagiaga kwa wingi sana, huyu jamaa atakuwa kwa ss hana ndugu apo tz, walishafurushwa hadi palee bujumbura, sijui jamaa anaponea wapi huyu...ila siku atadakwa lazma anyeee ndoo apo kisutu miezi kadhaa afu alete kamrejesho humu[emoji3] [emoji191]
Hahaa ndo maana unakuta lijitu limekariri azimio la arusha na ilani ya chama utadhani mwalim kafufuka, kumbe ndo kulinda nafsi linazuga tu...Tatizo Tz wameanza kusisitiza matumizi ya vitambulisho hivi majuzi, sasa hapo unakuta ilikua rahisi kwa wakimbizi wa kutokea Burundi kuzamia Dar halafu wanahakikisha wamejua Kiswahili vizuri halafu na kushobokea shobokea mambo ya CCM. Kwa mtindo huo ilikua rahisi wao kukwepa uhamiaji.
haya basi dogo nimekuelewa..Your English is limited hata viewers lipo grammatical correct kwani aliowalenga hawatumii JF sababu ya language barrier so the forum is not useful for them.
Wakenya Hamjui English wala Swahili mnajua tu kikikuyu mkiongea English lafudhi ya kijaluo au kikamba ni kichefuchefu
yaah sure,we are many here viewing your swahili forum.i wish to contribute but i dont understand the language..thank you.
ZambiaHello there, and u are from where?
Zambia
Dogo ni koko ako tuheshimiane we mungikihaya basi dogo nimekuelewa..
Wewe unajiita mkenya wakati sio mkenya dawa yako inachemka I will expose you very soon thank you.Hahaa ndo maana unakuta lijitu limekariri azimio la arusha na ilani ya chama utadhani mwalim kafufuka, kumbe ndo kulinda nafsi linazuga tu...
Kale kawimbo ka chama kakianza ndo balaa asee anakata mauno hadi basi..tumeipenda wenyewe,cha chetu wenyewe, acha waisomeee namba[emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji2] [emoji2]
Vipi yule tapeli aliye kutapeli hapo ubungo Lusaka Zambia ulimpata?Zambia
ooh yesVipi yule tapeli aliye kutapeli hapo ubungo Lusaka Zambia ulimpata?