Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Baki na hamu zako sasa achana na wanawake ili usiwe na wakumpa pesa kwasababu unashindana na uhalisia.
Ke ndiye anayeshindana na Me kiuhalisia kwa kichaka cha HAKI SAWA ila si kuhusu pesa kimajukumu katika familia.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
uzuri gari bovu huvutwa na jipya zima

ni wakati wetu mabinti wabichi warembo kutushika mkono mzee mwenzangu
Hahaha........... umesema sahihi Mzee mwenzangu, maisha yenyewe ndiyo haya haya Wacha tumalizie malizie pension zetu 🤗
 
Ndio maana wazee wanakubalika na wabinti, coz wao tayari wamejipata na wana uwezo wa kuhudumia.

Sasa wewe kijana uko na 28 yako kavu, huna A wala B na ni mtaalam wa kuhonga, endelea kujiumiza. Utashangaa 40 hii hapa upo kwa one bedroom apartment huna hata kiwanja. Vimshahara vyenyewe hivi cya Sa100 unataka kunata navyo kwa mtu huna future nae, kuwa makini sana.
 
Mwanamke kuomba hela ni haki yako tatizo ni pale unapoomba kuzidi bajeti uliowekewa ndani ya mwezi
 
Mademu wa Tz acheni kulialia chapeni kazi huku Kenya tunajitombea wanawake Bure kwasababu wanafanya kazi
 
Mkeo hakuombi pesa, bali ni wajibu wako mwanaume kuhudumia familia yako. Hata sisi tukioa tutahudumia familia kwa kuhakikisha mahitaji yote ya msingi yanapatikana kwa wakati. Naleo hii ndio tunaiandaa hio kesho ya kuhudumia mke. Atakaeweza vumilia ugumu huu tulionao basi anaweza pandishwa cheo kutoka Dem mpaka mke.
mkuu hujanielewa, nnachomaanisha ni kumpa pesa mke wako nje ya pesa ya kuhudumia familia, yan unatimiza wajibu na bado unampa pesa yake yeye kama yeye
 
Mimi pesa naomba tena mchana kweupe

Babe wangu nikimuomba pesa anatuma muda huohuo, pia huwa ananipa hata bila kumuomba.
naomba nijibu hili swali, ukiacha huyo bby wako hujawahi kuomba pesa kwa mwanaume mwingine na akakunyima?
 
Back
Top Bottom