Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishaolewa ni haki yako kuhudumiwaMchoyo mchoyo
Ke ndiye anayeshindana na Me kiuhalisia kwa kichaka cha HAKI SAWA ila si kuhusu pesa kimajukumu katika familia.Baki na hamu zako sasa achana na wanawake ili usiwe na wakumpa pesa kwasababu unashindana na uhalisia.
Hahaha........... umesema sahihi Mzee mwenzangu, maisha yenyewe ndiyo haya haya Wacha tumalizie malizie pension zetu 🤗uzuri gari bovu huvutwa na jipya zima
ni wakati wetu mabinti wabichi warembo kutushika mkono mzee mwenzangu
[emoji12]BTW mwanamke ukimpa hela , mkikutana hachelewi kulowana kule kwa chobisi
😆[emoji12]
Afu shida ni yake lakin kaandaa 5000 tu na anataka Liverpool amupe 30,000Hakuna jambo linakera kama hawa nguchiro kuhisi kupewa pesa ni haki yao.
Yani jitu linajiwekea kuwa ni lazima ulipe hela likitaka.
mkuu hujanielewa, nnachomaanisha ni kumpa pesa mke wako nje ya pesa ya kuhudumia familia, yan unatimiza wajibu na bado unampa pesa yake yeye kama yeyeMkeo hakuombi pesa, bali ni wajibu wako mwanaume kuhudumia familia yako. Hata sisi tukioa tutahudumia familia kwa kuhakikisha mahitaji yote ya msingi yanapatikana kwa wakati. Naleo hii ndio tunaiandaa hio kesho ya kuhudumia mke. Atakaeweza vumilia ugumu huu tulionao basi anaweza pandishwa cheo kutoka Dem mpaka mke.
Una tofauti gani na makahaba wa barabaraniHiyo ni nipe nikupe au toa ulichonacho
naomba nijibu hili swali, ukiacha huyo bby wako hujawahi kuomba pesa kwa mwanaume mwingine na akakunyima?Mimi pesa naomba tena mchana kweupe
Babe wangu nikimuomba pesa anatuma muda huohuo, pia huwa ananipa hata bila kumuomba.
Kahaba na mnunuzi wote makahaba, waliokutana barabaraniUna tofauti gani na makahaba wa barabarani
mkuu samahani nje ya mada kidogo, umeolewa? na kama umeolewa mumeo huwa anakupa pesa ukiacha zile pesa za matumizi?Kahaba na mnunuzi wote makahaba, waliokutana barabarani
Kwanini umeuliza hayo maswali? Lengo lako nini?mkuu samahani nje ya mada kidogo, umeolewa? na kama umeolewa mumeo huwa anakupa pesa ukiacha zile pesa za matumizi?
lengo langu zuri tu, nataka kujua kama walioolewa huwa bado wanapewa pesa na waume zao kama zamani walipokua ktk mahusiano...Kwanini umeuliza hayo maswali? Lengo lako nini?