cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Chochote, ambacho anaweza kumudu kumuhudumia mwanamke wake.Ili useme mtu ana hela nikiasi gani hicho?. Au inatakiwa awe na angalau pato la shillingi ngapi kwa mwezi?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chochote, ambacho anaweza kumudu kumuhudumia mwanamke wake.Ili useme mtu ana hela nikiasi gani hicho?. Au inatakiwa awe na angalau pato la shillingi ngapi kwa mwezi?.
Hapo lazima iwe Both team to score.Umesema sahihi Mkuu
Wengi wa Wazee wa Umri huo unakuta anakula pension yake huku anatafuta Binti wa kumtoa upweke tu
MalaaaaayKama hutaki kutumia hela yako kwa mwanamke, kwanini uwe na huyo mwanamke. Hapo ameomba umsaidie. Ndiyo mwanamke uliyemchagua. Hutaki subiri ukioa, shida iko wapi?
Mnakuja kuwaanika watoto wa watu kila siku, hela, hela ukiombwa mamilioni si utatangaza kwenye TV kabisa. Acheni hizo
KafulieMbona povu
Siku akisahau kukutumia lazima ugomvi utokee.Napenda mwanaume anayejiongeza sio kusubiria kuombwa.Hapo ndipo my hubby aliponiwin
Hahaha............hiyo imekaa vizuriHapo lazima iwe Both team to score.
Mzee anapata anachokitaka na binti anapata matunzo.
Hamna hata nitajua amekwama kwa sababu tayari najua nina mtu wa aina ganiSiku akisahau kukutumia lazima ugomvi utokee.
Asitmbe hela, anunue pande la jamaa tu sh 700 linamtosha 😂😂.Sasa si uachane na wanawake kijana utmbe hata hela zako tu.....😹
Uko wapi kwanza.
Kwani kwenye kuzagamuana sote si tunasikia raha? Why sisi tulipie mkuu? Basi kila mtu abaki na utamu wake.Na nyie hela ni kitu ya kutunyima kweli mtupe tuwape
Mbona hajakuwekea wewe Kama ni rahisi hivyo?Tamu nayo ni ya kuilipisha mtu kweli? Kiungo ambacho Baba Muumba kakiweka bure??
Kaniwekea ya kwangu 🍆🍆🍆. Kama unaitaka njoo uichukue bure.Mbona hajakuwekea wewe Kama ni rahisi hivyo?
Bahati mbaya situmii vishungi vya sigara, so… No thank you.Kaniwekea ya kwangu 🍆🍆🍆. Kama unaitaka njoo uichukue bure.
Mimi ndo kanuni yangu, kamwe situmi hela!Iyo hela inabidi muitumie wote, muite aje mnywe mle alafu umdinye sio umtumie alafu akaitumie na msela wake..
Kanuni ni moja, usimuonee huruma mwanamke, matapeli yamejaa kila kona!Kumsaidia au kutapeliwa? Wewe unafikiri mara zote iyo hela wanayoomba hawana? Wewe unaelfu 60 mfukoni utampa iyo elfu 30 utabakiwa na elfu 30, mwenzako text iyo iyo ya kuomba elfu 30 kaituma kwa wanaume 10, akipewa na wanaume watano tu ana 150k mfukoni. Kaa kitaalamu mzee baba, mjini hapa.
Ni ajabu sana aiseeKama hutaki kutumia hela yako kwa mwanamke, kwanini uwe na huyo mwanamke. Hapo ameomba umsaidie. Ndiyo mwanamke uliyemchagua. Hutaki subiri ukioa, shida iko wapi?
Mnakuja kuwaanika watoto wa watu kila siku, hela, hela ukiombwa mamilioni si utatangaza kwenye TV kabisa. Acheni hizo
😂😂Wapi nimesema hamna hela? Soma vizuri uelewe. Nimesema kama hutaki kumpa si usimtongoze, atapata kwa wanaotoa. Baki na chululu yako naye abaki na kitumbua chake. Case closed.