Dear Crush nakusabahi, u hali gani?

Mwaya we crush na wote ila Mdakuzi niachie, ni crush wangu mwenyewe. Teh
 
Mwaya we crush na wote ila Mdakuzi niachie, ni crush wangu mwenyewe. Teh
Wewe hunaga baya heka heka za mahusiano sio fungu lako Nifah😍 mtunze sana huyo mwamba sawa mama…ila tukisikia unampa vimateso vya hapa na pale ili akili imkae sawa basi hatutakuwa na budi kumtuma tai amnyakue😁😁
 
Wewe hunaga baya heka heka za mahusiano sio fungu lako Nifah😍 mtunze sana huyo mwamba sawa mama…ila tukisikia unampa vimateso vya hapa na pale ili akili imkae sawa basi hatutakuwa na budi kumtuma tai amnyakue😁😁
I have taken your advice, thanks dear.
Ila huyo tai ashindwe tu jamani πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…