Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😂 crushMpaka yatikiswe sasa. Mimi nina Imani hutonitikisa 😘
Mimi nawe damdamToo late umechukuliwa na nani kwani? 😀
Mwaya we crush na wote ila Mdakuzi niachie, ni crush wangu mwenyewe. TehDear crush ninakusabahi nikiwa nyuma ya keyboard,uhali gani?🥰🥰
Nikiuona mwandiko wako basi roho yasuudhika barabara(jamani mniombee)😊😊hallelujah.
Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍.
Wana jf mkianza kunifokea tafadhali mpunguze sauti msije mkanikatisha ndoto yangu buree🥳🥳.
Nambie dear crush 🥰Hahahaha 😂 crush
Wewe hunaga baya heka heka za mahusiano sio fungu lako Nifah😍 mtunze sana huyo mwamba sawa mama…ila tukisikia unampa vimateso vya hapa na pale ili akili imkae sawa basi hatutakuwa na budi kumtuma tai amnyakue😁😁Mwaya we crush na wote ila Mdakuzi niachie, ni crush wangu mwenyewe. Teh
Dooh! Watu mpo mbele ya wakati aiseee....hv mnawatambuaje?Muhimu sana kulijua hili maana Sasa khumalo ni mtego wa kunasa wanazuoni wanaotumia ID fake mitandaoni hata ephen ni offsir kipenyo mbwa yule
I have taken your advice, thanks dear.Wewe hunaga baya heka heka za mahusiano sio fungu lako Nifah😍 mtunze sana huyo mwamba sawa mama…ila tukisikia unampa vimateso vya hapa na pale ili akili imkae sawa basi hatutakuwa na budi kumtuma tai amnyakue😁😁
Huwa wanajisahau wanatoa code wenyewe si unajua askari wengi hupenda sifa na wanataka kujulikana mitandaoni wamezagaa sanaDooh! Watu mpo mbele ya wakati aiseee....hv mnawatambuaje?
we have to crush our crush inorder to crush ourselves 😂Nambie dear crush 🥰
Sawa limepita ilo, kuna jingine labda? 😅we have to crush our crush inorder to crush ourselves 😂
Hakuna ni.ilo tu😌😆Sawa limepita ilo, kuna jingine labda? 😅
😘Hakuna ni.ilo tu😌😆
Mbona kama krashi mwenyewe ndo huyu 🙄
ephen_ huyu huyu ?Muhimu sana kulijua hili maana Sasa khumalo ni mtego wa kunasa wanazuoni wanaotumia ID fake mitandaoni hata ephen ni offsir kipenyo mbwa yule