Dear Crush nakusabahi, u hali gani?

Dear Crush nakusabahi, u hali gani?

Dear crush ninakusabahi nikiwa nyuma ya keyboard,uhali gani?🥰🥰

Nikiuona mwandiko wako basi roho yasuudhika barabara(jamani mniombee)😊😊hallelujah.

Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍.

Wana jf mkianza kunifokea tafadhali mpunguze sauti msije mkanikatisha ndoto yangu buree🥳🥳.
Mwaya we crush na wote ila Mdakuzi niachie, ni crush wangu mwenyewe. Teh
 
Mwaya we crush na wote ila Mdakuzi niachie, ni crush wangu mwenyewe. Teh
Wewe hunaga baya heka heka za mahusiano sio fungu lako Nifah😍 mtunze sana huyo mwamba sawa mama…ila tukisikia unampa vimateso vya hapa na pale ili akili imkae sawa basi hatutakuwa na budi kumtuma tai amnyakue😁😁
 
Back
Top Bottom