TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Happy new years guys 2025!...
Mwak jana mwishon niliachan na mrembo wangu ambae kwaukweli tulizoean sana na kupendana.
Kumuacha ilibd kutoka na sababu zangu ambazo zili base kiakili (logic thinking).(Niliamua kurudiana na mawatoto wangu) Nikafany maamuZ ya kihisia bado nitaendelea kuw nawe lkn nikaon future ndefu kwake na mim itakuw na changamot .
CHANGAMOTO
Tumekuwa tukiendelea kimawasiliano na hata juz nimmepeleka lunch tukala ila ninachona sasa anatak tension yangu na anatak nimpe huduma (kumjali kwa kumpa matumiz madogo madogo ) lkn mzgo Nikama hatak kutoa hv nikipma anatak uwepo uwepo ,
Nilipoachan nae nikawa nafk kwenye mji x anaofanyia kaz na kuish bahat mbaya wananijua wakawa wanampa taarfa jamaa ako yupo mjin , basi atapg cmu na kulaumu kwann sijamchek tuonane (kwakusalimian physical)
Hv nyie wanawake mmnaona miili yenu ina value kubwa lakn pesa zetu tunazo wapa , tena mnaomba mnazan hatuna ndugu na jamaa wakuwapa ?
Mwanamke usiombe ela hasa kwa ex wako kama siku Nae akiw na shida ya kimapenz hutowez mtimiza , ukiona mwanaume anakupa ela jua ana kujali na atakuw na hisia na wew .
Mwak jana mwishon niliachan na mrembo wangu ambae kwaukweli tulizoean sana na kupendana.
Kumuacha ilibd kutoka na sababu zangu ambazo zili base kiakili (logic thinking).(Niliamua kurudiana na mawatoto wangu) Nikafany maamuZ ya kihisia bado nitaendelea kuw nawe lkn nikaon future ndefu kwake na mim itakuw na changamot .
CHANGAMOTO
Tumekuwa tukiendelea kimawasiliano na hata juz nimmepeleka lunch tukala ila ninachona sasa anatak tension yangu na anatak nimpe huduma (kumjali kwa kumpa matumiz madogo madogo ) lkn mzgo Nikama hatak kutoa hv nikipma anatak uwepo uwepo ,
Nilipoachan nae nikawa nafk kwenye mji x anaofanyia kaz na kuish bahat mbaya wananijua wakawa wanampa taarfa jamaa ako yupo mjin , basi atapg cmu na kulaumu kwann sijamchek tuonane (kwakusalimian physical)
Hv nyie wanawake mmnaona miili yenu ina value kubwa lakn pesa zetu tunazo wapa , tena mnaomba mnazan hatuna ndugu na jamaa wakuwapa ?
Mwanamke usiombe ela hasa kwa ex wako kama siku Nae akiw na shida ya kimapenz hutowez mtimiza , ukiona mwanaume anakupa ela jua ana kujali na atakuw na hisia na wew .