Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo point aiseee.Happy new years guys 2025!...
Mwak jana mwishon niliachan na mrembo wangu ambae kwaukweli tulizoean sana na kupendana.
Kumuacha ilibd kutoka na sababu zangu ambazo zili base kiakili (logic thinking).(Niliamua kurudiana na mawatoto wangu) Nikafany maamuZ ya kihisia bado nitaendelea kuw nawe lkn nikaon future ndefu kwake na mim itakuw na changamot .
CHANGAMOTO
Tumekuwa tukiendelea kimawasiliano na hata juz nimmepeleka lunch tukala ila ninachona sasa anatak tension yangu na anatak nimpe huduma (kumjali kwa kumpa matumiz madogo madogo ) lkn mzgo atak kutoa?
Hv nyie wanawake mmnaona miili yenu ina value kubwa lakn pesa zetu tunazo wapa , tena mnaomba mnazan hatuna ndugu na jamaa wakuwapa ?
Mwanamke usiombe ela hasa kwa ex wako kama siku Nae akiw na shida ya kimapenz hutowez mtimiza , ukiona mwanaume anakupa ela jua ana kujali na atakuw na hisia na wew .
Nilisoma kwa kweli.Soma vle mkuu, kawaid naish nae bila kuhitaji huo mzgo ila sasa nmeona anakuj na vizng vkubwa ambavyo hvyo uwez toq kirahis bila kujua
lkn mzgo atak kutoa?
Anyway, pesa ni yako - tumia utakavyo.Nae akiw na shida ya kimapenz hutowez mtimiza
Akili za nyumbu hovyo kabisa unamtoaje out x wako? Unataka nini? Halafu asikiuombe hela?Happy new years guys 2025!...
Mwak jana mwishon niliachan na mrembo wangu ambae kwaukweli tulizoean sana na kupendana.
Kumuacha ilibd kutoka na sababu zangu ambazo zili base kiakili (logic thinking).(Niliamua kurudiana na mawatoto wangu) Nikafany maamuZ ya kihisia bado nitaendelea kuw nawe lkn nikaon future ndefu kwake na mim itakuw na changamot .
CHANGAMOTO
Tumekuwa tukiendelea kimawasiliano na hata juz nimmepeleka lunch tukala ila ninachona sasa anatak tension yangu na anatak nimpe huduma (kumjali kwa kumpa matumiz madogo madogo ) lkn mzgo atak kutoa?
Hv nyie wanawake mmnaona miili yenu ina value kubwa lakn pesa zetu tunazo wapa , tena mnaomba mnazan hatuna ndugu na jamaa wakuwapa ?
Mwanamke usiombe ela hasa kwa ex wako kama siku Nae akiw na shida ya kimapenz hutowez mtimiza , ukiona mwanaume anakupa ela jua ana kujali na atakuw na hisia na wew .
Unalosema ni sahihi na unakuta jamaa ake hatampg kznga , kutoa ela nene bila mzgo ni ujinga haswaNilisoma kwa kweli.
Anyway, pesa ni yako - tumia utakavyo.
Just imagine hela anaomba kwako apendeze, ale ashibe then akampe mwanaume mwingine yote. Na akamlilile na kumng'ang'ania wakati anakojoa. Ongezea mwamba anamwagia ndani ila hela ya P2 unaombwa wewe.
Ukiendelea kutoa hela hapo hongera una moyo wa Mama Teresa.
Ukitaka kuuona ushetani wa mwanamke muache then urudiane naye akishakuwa amekazwa na mwanaume mwingine.
Mkuu hiko n ktu cha kawaida tuu (yeye hupend hvyo nikiw wilaya kwao ) Tshs 10,000 ya kula pamoja ina hasara gana shida ni hyo kuomba ela kwa matumiz mengine.Akili za nyumbu hovyo kabisa unamtoaje out x wako? Unataka nini? Halafu asikiuombe hela?
Kuelewa unaelewa shida naona ni implementation+
Mara zote nikifk huko mji anao ishi
Unalosema ni sahihi na unakuta jamaa ake hatampg kznga , kutoa ela nene bila mzgo ni ujinga haswa
Usimuonee huruma mwanamke, maana yeye kiasili hana huruma na wewe.Aksnt mkuu. Tatzo mazoea nami kwakuw nilizngua kuna ka hurum fuln hv
Nmekuelew mkali , ,Huo ujumbe wako haupngik mkuuUsimuonee huruma mwanamke, maana yeye kiasili hana huruma na wewe.
Akilia yeye dunia nzima itakuja kumbembeleza, kumsaidia na kumshika mkono huku wakikunyooshea vidole wewe kuwa mtu mbaya
Ukilia wewe utalia mwenyewe mkuu. Wanaume hatuna support system.
Usimuonee huruma mwanamke, maana yeye kiasili hana huruma na wewe.
Akilia yeye dunia nzima itakuja kumbembeleza, kumsaidia na kumshika mkono huku wakikunyooshea vidole wewe kuwa mtu mbaya
Ukilia wewe utalia mwenyewe mkuu. Wanaume hatuna support system.
Kwani umemuomba sasa Jamani?Alishakula san enzi za in relationship sasahv inabd npe nkupe🍵
Mpe kwanza hayo mengine ni vitu vidogo sana 😅ila wanaume mmekuaje jamani 😅😅Yeye ndie anaomba sasa , n kama anataka maisha ya zaman ya kuhudumiw kam zamn. Ambako kwangu ni shachangamoto akitak hvyo akubali kutoa na utamu sio kusumbuana.
Naweka Accout yangu ya Azania hapo chini 😅😅😅😅 nai bold kabisa.Haya 🕛
C bora nianze kukujalijali wew
Mwalimu wa Kiingereza akiwa anafundisha alikuwa kazi ni kula ubuyu, ona sasa ex wake anataka “tension “ yake.Umesema alitaka tension yako?