Dear Ladies and Gentlemen

CPU kaamka vizuri leo,haya kweli waga tunanguo nyingi lakini tunakosa za kuvaa asubuhi,saa nzima unatafuta tu uave ipi.....80% ya hayo uliyosema ni kweli na ndo tusihivyo! duh,ila hapo kwa wanaume,kazi kweli kweli,ni vizuri kuwajua though!

Karibu bibie mrembo, naona leo nimewakamata mpaka hamna cha kubisha, kweli leo CPU ilikuwa kiwango, wadada woooote wanapiga saluti isipokuwa Lizzy tu ndo alitaka akabe hadi penati hahahaha . . . nakuonaga ukifanyaga shopping za nguo, lakin bado unavaa za zamani
 

Hujui...unafikiri!!Unachotaka nikubali sicho nlichokua naongelea!
 
Kipindi cha pili mpaka sasa
Mechi kali Uwanja wa Taifa kati ya Bongo Fleva na Bongo Movie

Mpaka sasa Bongo Fleva 2 - 0 Bongo Movie
 

CPU nawe,kuna vitu vingine ni natural tu ndo tulivyo,sasa wataka tubishe nini?katika kila kitu kuna exceptions,so natumaini Lizzy aweza kuwa mmoja wao.....sikuhizi nimeacha kufanya shopping pale ukipokuwa unaniona,nimefulia niko Karume kwa sana....l.o.l
 
central processing unit aisee.....kuna mmoja huku ana pair 60 za viatu still counting.......
 

Huko ndo niliponunua suti yangu ya graduation, nipo kwa sana huko napenda kununua mapensi nyanya na soksi . . . lol
 
central processing unit aisee.....kuna mmoja huku ana pair 60 za viatu still counting.......

Kaka naomba upunguze hii idadi.
Anaziwekaje pea zote hizo?:A S 13::A S 13:
 
Kama maua tu, yanastawi na kupendeza kila muda yanang'olewa na kuchomwa moto lakini bado yananawiri.
 
Mh mambo haya bana ila kuna ukweli uliyosema hapo juu. kweli kabisa. Unajiona kabisa hujapendeza utasikia mwenzako anakupa masifa
 
Mh mambo haya bana ila kuna ukweli uliyosema hapo juu. kweli kabisa. Unajiona kabisa hujapendeza utasikia mwenzako anakupa masifa

Hapana Gaga, sifa mara zote hujenga kujiamini kwa mtu, so nimependa infact lakin sio mpaka niseme wazi kila mtu ajue
 
hashyyyyyyyy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…