Dear Ladies and Gentlemen

Dear Ladies and Gentlemen

Okey let me be one of them mijitu!Namba moja ya wanawake ina uwalakini!

Wewe sio mijitu, wewe nitakuita KAMUREMBO katamu. Haya fafanua uwalakin wenyewe ktk hiyo moja?
 
Wewe sio mijitu, wewe nitakuita KAMUREMBO katamu. Haya fafanua uwalakin wenyewe ktk hiyo moja?
Mmh kwanini unapendelea?!?Uwalakini upo kwenye hiyo financial security inatakiwa/hitajika kutoka kwa nani!!Kama ni mwanaume nakupinga hata uniite Limtu...kama ni kwake mwenyewe nakupinga pia kwasababu wapo wasiojua a wala be kwenye hilo swala!!
 
Uongo tu, wakati nimeona sufuria la kande limebandikwa! huyoooooooooooooo

Zile kande anakula babu, amekuja jana uthiku na mama, we huthikii ubwabwa unanukia?!! Halafu mama kathema leo tunaenda bichiiii, atanunulia mdoli na banzoka, na aiskrimu ya azamuuu, na koni, na ubuyu, na . . . . . na pipi, na . . na kesho atanipa shiing dala ya ufuta
 
Mmh kwanini unapendelea?!?Uwalakini upo kwenye hiyo financial security inatakiwa/hitajika kutoka kwa nani!!Kama ni mwanaume nakupinga hata uniite Limtu...kama ni kwake mwenyewe nakupinga pia kwasababu wapo wasiojua a wala be kwenye hilo swala!!

Lizzy bana heheheh . . .
Eti anajifanya anakaba kote kote hadi kivuli ili nisifunge, hii ni CPU my sweet dia. Hebu sikiliza.

No woman wants to be with a deadbeat loser (man) with no money. If he has less than a woman, then he better be good at being a father and around the house.

Furthermore, most ladies spend more than they earn and become mired in debt.

There is a direct correlation between a woman's personality characteristics and her financial habits. Assertiveness, openness to change, and an optimistic outlook are the qualities that tend to lead to smart money choices.
 
Sipiyu bado sijaona kitu hapo!Wale wanaokua na wapiga debe je?Sh. za kubahatisha na mwanamke ni mama wa nyumbani wanafit wapi?Na kusema hua wanatumia zaidi ya walichonacho nayo sio kwa wote...kuna watu wana pesa ila vaa yao sio kabisa!!Nwyz endeleeni kupotoshana wenyewe kwa kusema hamna mwanamke anaetaka mwanaume asie na pesa!Ila jua kwamba sio kila mmoja anatafuta pakushibia!
 
Sipiyu bado sijaona kitu hapo!Wale wanaokua na wapiga debe je?Sh. za kubahatisha na mwanamke ni mama wa nyumbani wanafit wapi?Na kusema hua wanatumia zaidi ya walichonacho nayo sio kwa wote...kuna watu wana pesa ila vaa yao sio kabisa!!Nwyz endeleeni kupotoshana wenyewe kwa kusema hamna mwanamke anaetaka mwanaume asie na pesa!Ila jua kwamba sio kila mmoja anatafuta pakushibia!

naona unataka kuigeuza topic iwe KILA MWANAMKE ANAPENDA PESA.
Mi naona kuna hujasoma vizuri hizo data zangu. Au ngoja nitafsiri. KITU MUHIMU ZAIDI KWA MWANAMKE NI UHAKIKA WA PESA

hii naona unaichanganya na KITU MUHIMU KWA MWANAMKE NI MWANAUME MWENYE PESA.

Iwe mwanamke au mwanaume, wote ni watafutaji, konda, wapiga debe, n.k. na hakuna mtu asiyependa kuwa na pesa.
Tofauti ni kiasi cha pesa. Kwako wewe utasema konda hana pesa, lakin unaweza kuniambia pesa inaanzia kiasi gani?
 
then wanaoishi ktk ufukara wa kupindukia wao life style yao ni tofauti. Wao bila hata ya kuuliza unaona wazi kwamba utafutaji wao wa pesa haukidhi hata mahitaji yao ya muhimu kama chakula na matibabu, so hapo mafukara huwezi ukawajumuisha, coz hawana uwezo wa kufanya expensive spending
 
Pesa SIO kitu muhimu kabisa kwa kila mwanamke!

Sio kweli, nakataa kabisa.
Wanaposema mwanamke nae ajikomboe kiuchumi wanamaanisha nini? Au kuna wanawake hawataki kujikomboa?
 
Usipeleke mawazo yako kwenye pesa ya mwanaume, maana naona ndio linalo kutatiza hasa
 
CPU kaamka vizuri leo,haya kweli waga tunanguo nyingi lakini tunakosa za kuvaa asubuhi,saa nzima unatafuta tu uave ipi.....80% ya hayo uliyosema ni kweli na ndo tusihivyo! duh,ila hapo kwa wanaume,kazi kweli kweli,ni vizuri kuwajua though!
 
Hiyo itakua off topic...

najua huna utetezi lakin ni wazi kabisa binadamu wa aina hiyo. Labda tu kwa wale ambao bado wanaoshi maisha ya porini. So kwasababu umeshindwa kutoa utetezi unaoeleweka hivyo basi data zangu ni za kweli.

Najua ulitaka kuipeleka hoja kwenye mahusiano ya mwanamke na mwanaume ili useme mwanamke hatamani pesa ya mwanaume, lakin hoja yangu ni pesa anayotafuta kila mtu kivyake. Hope u agree now!
 
Back
Top Bottom