Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
Kuna mijitu itabisha kaka, subili uon itakuja tu
Sijui nibishe........................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mijitu itabisha kaka, subili uon itakuja tu
Kuna mijitu itabisha kaka, subili uon itakuja tu
Leo kwetu tunapika ubwabwa na thamaki, ukibisha thikuiti n'goooooo
Mmh kwanini unapendelea?!?Uwalakini upo kwenye hiyo financial security inatakiwa/hitajika kutoka kwa nani!!Kama ni mwanaume nakupinga hata uniite Limtu...kama ni kwake mwenyewe nakupinga pia kwasababu wapo wasiojua a wala be kwenye hilo swala!!Wewe sio mijitu, wewe nitakuita KAMUREMBO katamu. Haya fafanua uwalakin wenyewe ktk hiyo moja?
Uongo tu, wakati nimeona sufuria la kande limebandikwa! huyoooooooooooooo
Mmh kwanini unapendelea?!?Uwalakini upo kwenye hiyo financial security inatakiwa/hitajika kutoka kwa nani!!Kama ni mwanaume nakupinga hata uniite Limtu...kama ni kwake mwenyewe nakupinga pia kwasababu wapo wasiojua a wala be kwenye hilo swala!!
Sipiyu bado sijaona kitu hapo!Wale wanaokua na wapiga debe je?Sh. za kubahatisha na mwanamke ni mama wa nyumbani wanafit wapi?Na kusema hua wanatumia zaidi ya walichonacho nayo sio kwa wote...kuna watu wana pesa ila vaa yao sio kabisa!!Nwyz endeleeni kupotoshana wenyewe kwa kusema hamna mwanamke anaetaka mwanaume asie na pesa!Ila jua kwamba sio kila mmoja anatafuta pakushibia!
Sio kweli, nakataa kabisa.
Wanaposema mwanamke nae ajikomboe kiuchumi wanamaanisha nini? Au kuna wanawake hawataki kujikomboa?
Hiyo itakua off topic...Wao wanataka nini?
Ila we mtoto mrembo nikikushikaaaaaaaa!
Ujue nakuWOWA bila mahali
Kamata lisenksi
Hiyo itakua off topic...