Dear ladies kuweni makini sana, kuna washamba wa teknolojia

Tuweni makini hata kama ni wanandoa msifanye hivyo huwez jua simu ya itakuwa mikononi mwa nani hapo siku za usoni
 
Kwahiyo ulikuw active kwenye hilo group kwa muda gani mpaka ukaona uache huo ushamba
 
Sasa we mwanamke uliingiaje chocho la wahuni ndo mana wamekuremove mwanaume mbea ona aibu babu
 
hakunaga siri ya watu zaidi ya wawili...naona ushaanza kuchoka na kuanza kuvujisha content za kikundi chako kinachopenda phonograph.

Inaonekana malengo yenu ni kushindana nani atatoka na PISI kali fulaniii.. kwa anayefanikiwa anarekodi na kutuma kwenye genge lenu

Unajifanya unajali sanaa kumbeee ...
 
Japo wamekushambulia sana lakini umetoa ujumbe mzuri sana and trust me huu ujumbe wako utakua umeshtua mabinti wengi sana, na kuwasuta hao washamba wa technology,

Vitu vinavyofanywa faragha viishie faragha, kurecord na kusambaza ni ushamba na ujinga,

Badilikeni.
 
Hizo ni tabia za wavulana sio wanaume
 
Nawapa pongezi hawa jamaa kwa kukuondoa maana unazingua. Watu wamekuamini wee nawe umewaangasha
 
Ubarikiwe sana.
 
unatufoke sisi? si ukafoke kwenye grupu lenu
 
Sasa wewe si ungewaambia hao wenzako mnaofanya huo upuuzi wenu

Shit🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…