Dear ladies kuweni makini sana, kuna washamba wa teknolojia

Dear ladies kuweni makini sana, kuna washamba wa teknolojia

Salaam,

Tupo washikaji kumi Na tatu ambao tuna aminiana sana na tunatunziana Siri. Tuna group la whatsap ambalo unaeza tuma chochote na hakieza toka nje ya hilo group Na tuliapishana kabisa hata mawife wasichungulie mle,so content yoyote unashare na wana,privacy guaranteed

That's not a problem, the problem is Wana kila siku wanatuma videos wakiwagegeda watoto wa watu, na video nying nnavyoona zinakua recorded bila consent ya hao warembo.voicenotes pia sometimes

What pains me sio kugegeda coz I do it too,but why umrecord mtoto wa watu bila idhini yake?

Af unarecord ili iweje? Yaani ni ushamba flan,ni sawa na kula pilau kuku ukaenda kuwatambia wenzio ni utoto

Sio vzur kufanya hvo,kwanza ni uvunjifu wa Sheria Na pili huez jua kesho au kesho kutwa hyo video itakua mikononi mwa nani.kama unafanya hvo acha ni ushamba,kama kuna rafiki ako anafanya hvo jaribu kumshaur aache ushamba(Mimi nimefanya hvo ila wameniremove hadi kwa group)

Af Na nyie wadada mkienda kugegedwa hakikisha simu(smartphone) ya jamaa ako unaiona iko api na imekaa vp,sio unafika unampanda panda tu kumbe kakutegeshea.

Af kuna madem washenz sana,anaambiwa piga picha ukiwa mtupu unitumie nalo linatuma,are you stupid!!!unaemtumia ni ndugu yako? Umaskini usikufanye usiwe Na akili

Ladies kueni makini sana,kuna wavulana wapumbavu
Haya jadili na washikaji (wapumbavu) wako! Ladies hawajui kinachoendelea kama ambavyo umeeleza.
 
Salaam,

Tupo washikaji kumi Na tatu ambao tuna aminiana sana na tunatunziana Siri. Tuna group la whatsap ambalo unaeza tuma chochote na hakieza toka nje ya hilo group Na tuliapishana kabisa hata mawife wasichungulie mle,so content yoyote unashare na wana,privacy guaranteed

That's not a problem, the problem is Wana kila siku wanatuma videos wakiwagegeda watoto wa watu, na video nying nnavyoona zinakua recorded bila consent ya hao warembo.voicenotes pia sometimes

What pains me sio kugegeda coz I do it too,but why umrecord mtoto wa watu bila idhini yake?

Af unarecord ili iweje? Yaani ni ushamba flan,ni sawa na kula pilau kuku ukaenda kuwatambia wenzio ni utoto

Sio vzur kufanya hvo,kwanza ni uvunjifu wa Sheria Na pili huez jua kesho au kesho kutwa hyo video itakua mikononi mwa nani.kama unafanya hvo acha ni ushamba,kama kuna rafiki ako anafanya hvo jaribu kumshaur aache ushamba(Mimi nimefanya hvo ila wameniremove hadi kwa group)

Af Na nyie wadada mkienda kugegedwa hakikisha simu(smartphone) ya jamaa ako unaiona iko api na imekaa vp,sio unafika unampanda panda tu kumbe kakutegeshea.

Af kuna madem washenz sana,anaambiwa piga picha ukiwa mtupu unitumie nalo linatuma,are you stupid!!!unaemtumia ni ndugu yako? Umaskini usikufanye usiwe Na akili

Ladies kueni makini sana,kuna wavulana wapumbavu
Duuh
 
Back
Top Bottom