Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Kwanini usiwaombee wale waliotimuliwa na ben mwaka 2001 waliokimbilia kenya?
 
P,

Sasa tujiulize yafuatayo Watanzania bara mpaka leo hii kuna haki hawana Zanzibar hasa za Ardhi na umiliki. Kabla ya kufikiria kuruhusu Sultan ambaye ajaomba kurudi ni lazima turuhusu kwanza Watanzania wote wapewe haki zao

Pili kuna kundi la Wanzanzibari ambao waliondoka baada ya uchaguzi wa 1995 na walipewa ukimbizi EU na Canada mimi ningeshauri tuanze na hawa na watu wote wa bara kabla ya wale masultani. Hawa wanzanzibar mpaka leo wanatuma pesa nyumbani.

Tatu kuna mchakato wa kuwapa diaspora kibali maalumu cha kusafiria na kuhakikisha wanapata haki zao. Mimi ningeshauri haya makundi yainhizwe kwenye kundi la vibali maalumu kama wanataka kweli kurudi.

Kama unaongelea msamaha tu ili waweze kusafiri bila kushikwa na Polisi hilo liko sawa lakini kupata haki zao zote hapo ni pa gumu sana
Ukiona hivyo huyu Sultan amemtumia kitu kidogo ndugu yetu aanze kutengeneza mazingira kama anavyofanya kwa akina Halima Mdee
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Paskali, kwani wameomba kurudi?
Na anayerudi akitaka kiti chake cha usultani je?
Tusiichokoze historia iliyokuwa ya mabwana na watwana.
 
Ukiona hivyo huyu Sultan amemtumia kitu kidogo ndugu yetu aanze kutengeneza mazingira kama anavyofanya kwa akina Halima Mdee
Wasitake kuturudisha kule tulikotoka , enzi za ubaguzi, enzi za watwana, wakwezi na mabwana na waungwana.
Hatutaki kurudi kule.
Tatizo wengi humu ni wa watoto wadogo hata kama wana miaka 45 au 50.
Sisi wengine tumeona adha ya mapinduzi 1964, watu kuchinjana na kuuana kwa sababu ya ubaguzi(yaliyofuatana na maasi ya jeshi, KAR)
Hali ile ilikuwa inatisha.
Tuteme mate chini
Su... tusirudi huko kamwe.
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
P, hili bandiko umeandikiwa au umeandika mwenyewe itnandula?
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Pasi, tujadili uhalisia na is influence ama here-feel facts...,unajua usichamganye influence ya mtu kuwa rais wa JMT na u-Zanzibar wa SSH. Yeye angali ni rais wa JMT na sio rain wa SMZ! Hayo mambo mwachie Hussein Mwinyi na Baraza lake la mapinduzi kama lipooo....,kumbuka Komando alishalitolega kauli jambo lile....,then kumbukaa kuzaliwa makunduchi na kukaa kizmkazi haihalalashi na kuwa rais wa JMT haiharalishi maamuzi yake, kubali kataa zenj wanakuaga na mambo Yao ya kizenj zenj, yeye hana mamlaka hayo on paper....unayaona kwa kofiaa ya njee tu ya urais wa JMT.
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Journalist mbona unatuangusha? Seyyid Said hakuwahi kuiachia Oman na Muscat. Alichokifanya ni kuhamishia makao makuu ya himaya yake yote Zanzibar. Kwa sababu hiyo aliendelea kutawala Oman kutokea Zanzibar. Himaya yake iligawanywa baada ya kifo chake ambapo mtoto wake wa tatu wa kiume Thuwaini bin Sultan Said akawa mtawala wa Oman na Muscat na wa sita Majid bin Said akawa mtawala wa Zanzibar.

Hilo la undugu na Sultan wa Brunei ni uongo mtupu. Sultan wa kwanza wa Brunei aliitwa Awang Alak Betatar ambae baada ya kuingia kwenye uislamu alichukuwa jina la Muhammad Shah. Watu wa Brunei ni wa Malay na sio waarabu. Nashindwa kuelewa ni kwa nini ulisema uongo wakati ukijua kabisa Google itakuumbua?

Amandla...
 
Acheni mboyoyo wapeni Warabu ardhi yao maana Sultan Seyyid Said ndio mwanzilishi wa Zanzibar alianza kwa kufanya mashamba ya karafuu na minazi, watu wote wenye asili ya kiafrika hapo Zanzibar ni uzao wa watoto wa Watumwa waliokua vijakazi na vibarua kwenye mashamba ya Sultan.
Hivyo basi alivyoanza kuvuna karafuu na mazao ya minazi Sultan aliufanya mji wa Zanzibar kuwa sehemu ya soko la bidhaa mbalimbali ikiwemo na biashara ya utumwa.
Baada ya migogoro katika koo ya kifalme huko Oman kupamba moto ndio mwamba akaamua kujenga kasri yake Zanzibar na kuhamia rasmi kwa makazi.

Hivyo muwaache jamaa waje Zanzibar ni yao/kwao wanahistoria mtatusaidia zaidi yaani hao ni kama vile mimi na wewe tunavyomiliki mashamba na viwanja kisha tukaviendeleza na kuvijenga.
Jamaa wakaifanya mwanzilishi wa Zanzibar..?
 
Back
Top Bottom