Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Acheni mboyoyo wapeni Warabu ardhi yao maana Sultan Seyyid Said ndio mwanzilishi wa Zanzibar alianza kwa kufanya mashamba ya karafuu na minazi, watu wote wenye asili ya kiafrika hapo Zanzibar ni uzao wa watoto wa Watumwa waliokua vijakazi na vibarua kwenye mashamba ya Sultan.
Hivyo basi alivyoanza kuvuna karafuu na mazao ya minazi Sultan aliufanya mji wa Zanzibar kuwa sehemu ya soko la bidhaa mbalimbali ikiwemo na biashara ya utumwa.
Baada ya migogoro katika koo ya kifalme huko Oman kupamba moto ndio mwamba akaamua kujenga kasri yake Zanzibar na kuhamia rasmi kwa makazi.

Hivyo muwaache jamaa waje Zanzibar ni yao/kwao wanahistoria mtatusaidia zaidi yaani hao ni kama vile mimi na wewe tunavyomiliki mashamba na viwanja kisha tukaviendeleza na kuvijenga.
Jamaa wakaifanya mwanzilishi wa Zanzibar..?
Una nawazo ya kitumwa.
Huyo mwarabu alikuta waafrika visiwani humo.
 
Msipate taabu sana. Zanzibar tutaikomboa tuu wenyewe na mamlaka yake tunayarudisha. Hata ikichukua miaka mingine 100 tuna subira. Ndugu zetu wa diaspora tutawaita watusaidie kuleta maendeleo.

Nyie hangaikieni na ukabila wenu unaozidi kuwanyemelea huko bara. Maana mmeshaanza kuitana sukuma gang na Wakenya wameshaona fursa wanachochea Wamaasai wao wawapiganie ndugu zao wa Loliondo. Na utaona wanachochea makabila mengine ya mpakani muda si mrefu labda serikali iwahamishe na wao. Wakuria, Waluo wataanza harakati zao muda si mrefu.
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali

Kwanza tuwacheni tupumuwe






Acheni mboyoyo wapeni Warabu ardhi yao maana Sultan Seyyid Said ndio mwanzilishi wa Zanzibar alianza kwa kufanya mashamba ya karafuu na minazi, watu wote wenye asili ya kiafrika hapo Zanzibar ni uzao wa watoto wa Watumwa waliokua vijakazi na vibarua kwenye mashamba ya Sultan.
Hivyo basi alivyoanza kuvuna karafuu na mazao ya minazi Sultan aliufanya mji wa Zanzibar kuwa sehemu ya soko la bidhaa mbalimbali ikiwemo na biashara ya utumwa.
Baada ya migogoro katika koo ya kifalme huko Oman kupamba moto ndio mwamba akaamua kujenga kasri yake Zanzibar na kuhamia rasmi kwa makazi.

Hivyo muwaache jamaa waje Zanzibar ni yao/kwao wanahistoria mtatusaidia zaidi yaani hao ni kama vile mimi na wewe tunavyomiliki mashamba na viwanja kisha tukaviendeleza na kuvijenga.
Jamaa wakaifanya mwanzilishi wa Zanzibar..?

Ndivyo pepo la mchungaji wako kanisani lilivyowaeleza historia hiyo?
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Akili ndogo akisoma aweza dhan unasupport Sultani arudi.

Kumbe umepuliza wakati huo huo ameandika HATI ya mashtaka Kwa walengwa.

Wataelewa ht baadae.
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
FaizaFoxy Mohamed Said Pascal Mayalla Huyu Anaweza kuruhusiwa kutembelea Zanzibar ?
Mkuu Yoda 、kwanza asante sana kuni tag,uzi huu Huyu ndo sultan wa Mwisho wa Zanzibar
Huyu ndo jamshid bin Abdullah the last Zanzibar sultan na mke wake .

Sula tu unajua huyu damu yetu kabisa 😂 . Mke wake ndo kabisa . Mtoto wa tanga huyu .
Mkuu Danielmwasi, asante sana kwa bandiko hili, anaonekana ni mtu rahimu sana, aruhusiwe tuu kurejea Zanzibar.

Zanzibar ni one of my very special area of interest, yale mambo yangu ya kupenda misosi, nilipita mahali almanusura nisimishwe!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Tukirejea kwa huyu Sultan, kwa vile hakufukuzwa Zanzibar, alijiondokea mwenyewe, he is free kujirudia mwenyewe. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Kwa vile huyu kosa lake ni moja tuu Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe... tumemuomba。Rais Samia na rais Mwinyi wamsamehe tuu, wamkaribishe Zanzibar aje kumalizia Zanzibar, siku zake chache za maisha yake zilizobakia ili aki... ,a ... Zanzibar.

Mimi mwanajeiefu mwenzenu ni Mzee wa masauti nimeisha elezwa kitu na nikakieleza humu Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said Atafurahi Zaidi, Kama Ata... Zanzibar!, Rais Samia, Rais Mwinyi, Sameheni, Mtabarikiwa Sana!.

Na baada ya kuisikia sauti hiyo, tulituma ombi rasmi kwa Rais Samia Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Huu sasa ni wakati muafaka huyu Sultan aruhusiwe kurejea Zanzibar.
P
 
Huu sasa ni wakati muafaka huyu Sultan aruhusiwe kurejea Zanzibar.
P
1. Huenda baadhi ya mambo yamekupita, hasa ukiwa Mzanzibari wa kujiandiksha😂😂 (Zanzibari by registration). Huyu jamaa ni Mzanzibari kwa kuzaliwa (Zanzibari by birth) kwa mujibu wa Sheria ya Mzanzibari ya 1986. Huyu pia ni Mtanzania kwa kuzaliwa kwa mujibu wa sheria ya Uraia ya JMT.
2. Huyu mtu alisharuhusiwa kurudi Zanzibar tokea utawala wa Dr. Salmin Amour. Sasa ni kurudi tu akipenda na kama bado yuhai, kwani sina hakika kwamba yuhai. Mama, labda, arudie tena kama Rais wa JMT.
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Napenda kuchangia hoja ila sina uhakika wa nani mwenye mamlaka ya kutoa msamaha huo kati ya rais wa Zanzibar na rais wa Tanzania, naomba unieleweshe.
 

Napenda kuchangia hoja ila sina uhakika wa nani mwenye mamlaka ya kutoa msamaha huo kati ya rais wa Zanzibar na rais wa Tanzania, naomba unieleweshe.
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi W

Napenda kuchangia hoja ila sina uhakika wa nani mwenye mamlaka ya kutoa msamaha huo kati ya rais wa Zanzibar na rais wa Tanzania, naomba unieleweshe.​

Ninahitaji kueleweshwa kuliko Thanks, nani mwenye mamlaka kati ya rais wa Zanzibar na rais wa Tanzania kumsamehe mtu kwa kitendo kilichotokea kabla ya muungano.
 
umeongea kitu cha maana sana, sultan arudi tu ukizingatia ana miaka 52 tu kwa sasa, wakati ule utoto tu ndo uliomkimbiza, akija awe seremonial leader kama kabaka mutesa wa uganda.
 
Wanabodi

Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Kisha aunde tume ya truth and reconciliation kutibu majeraha ya Mapinduzi na ya muungano.

Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.

Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.

Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.

Hili mnalionaje?.

Paskali
Ombi hili limezaa matunda Mapendekezo 10 Muhimu, Ujio Sultan wa Zanzibar, apewe Ving'ora, Kasri, atangaze Utalii,Mshindi wa Kweli Zanzibar 2025 Atangazwe To Heal Zanzibar!。
P
 
Makaburu walibagua, walitesa , waliua na kuwafunga akina Mandela vifungo vya maisha.
Mwisho blacks under Mandela walitokomeza ubaguzi, wakasamehe kwani walichopigania ni Africa Kusini yenye kuheshimu haki sawa kwa watu wote . Alihamasisha msamaha kwa makaburu bila kulipiza kisasi.
Hivyo kusahau mabaya ya waarabu na kumkubali Sultani arudi ni jambo la afya saana.
Maneno ya busara sana haya。
P
 
umeongea kitu cha maana sana, sultan arudi tu ukizingatia ana miaka 52 tu kwa sasa, wakati ule utoto tu ndo uliomkimbiza, akija awe seremonial leader kama kabaka mutesa wa uganda.
Bro, 52 years? This can’t be right! Ni miaka zaidi ya 60 sasa tangu Mapinduzi ya Zanzibar matokeo. Inawezekanaje Sultan awe na miaka 52?
 
Back
Top Bottom