Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Na hii inasikitisha sana.Brother Pascal umeanza kuchange taratibu😁😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii inasikitisha sana.Brother Pascal umeanza kuchange taratibu😁😁😁😁😁
Una nawazo ya kitumwa.Acheni mboyoyo wapeni Warabu ardhi yao maana Sultan Seyyid Said ndio mwanzilishi wa Zanzibar alianza kwa kufanya mashamba ya karafuu na minazi, watu wote wenye asili ya kiafrika hapo Zanzibar ni uzao wa watoto wa Watumwa waliokua vijakazi na vibarua kwenye mashamba ya Sultan.
Hivyo basi alivyoanza kuvuna karafuu na mazao ya minazi Sultan aliufanya mji wa Zanzibar kuwa sehemu ya soko la bidhaa mbalimbali ikiwemo na biashara ya utumwa.
Baada ya migogoro katika koo ya kifalme huko Oman kupamba moto ndio mwamba akaamua kujenga kasri yake Zanzibar na kuhamia rasmi kwa makazi.
Hivyo muwaache jamaa waje Zanzibar ni yao/kwao wanahistoria mtatusaidia zaidi yaani hao ni kama vile mimi na wewe tunavyomiliki mashamba na viwanja kisha tukaviendeleza na kuvijenga.
Jamaa wakaifanya mwanzilishi wa Zanzibar..?
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.
Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.
Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.
Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.
Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...
Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.
Hili mnalionaje?.
Paskali
Acheni mboyoyo wapeni Warabu ardhi yao maana Sultan Seyyid Said ndio mwanzilishi wa Zanzibar alianza kwa kufanya mashamba ya karafuu na minazi, watu wote wenye asili ya kiafrika hapo Zanzibar ni uzao wa watoto wa Watumwa waliokua vijakazi na vibarua kwenye mashamba ya Sultan.
Hivyo basi alivyoanza kuvuna karafuu na mazao ya minazi Sultan aliufanya mji wa Zanzibar kuwa sehemu ya soko la bidhaa mbalimbali ikiwemo na biashara ya utumwa.
Baada ya migogoro katika koo ya kifalme huko Oman kupamba moto ndio mwamba akaamua kujenga kasri yake Zanzibar na kuhamia rasmi kwa makazi.
Hivyo muwaache jamaa waje Zanzibar ni yao/kwao wanahistoria mtatusaidia zaidi yaani hao ni kama vile mimi na wewe tunavyomiliki mashamba na viwanja kisha tukaviendeleza na kuvijenga.
Jamaa wakaifanya mwanzilishi wa Zanzibar..?
Akili ndogo akisoma aweza dhan unasupport Sultani arudi.Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.
Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.
Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.
Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.
Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...
Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.
Hili mnalionaje?.
Paskali
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.
Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.
Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...
Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.
Hili mnalionaje?.
Paskali
Mkuu Yoda 、kwanza asante sana kuni tag,uzi huu Huyu ndo sultan wa Mwisho wa Zanzibar
Mkuu Danielmwasi, asante sana kwa bandiko hili, anaonekana ni mtu rahimu sana, aruhusiwe tuu kurejea Zanzibar.Huyu ndo jamshid bin Abdullah the last Zanzibar sultan na mke wake .
Sula tu unajua huyu damu yetu kabisa 😂 . Mke wake ndo kabisa . Mtoto wa tanga huyu .
1. Huenda baadhi ya mambo yamekupita, hasa ukiwa Mzanzibari wa kujiandiksha😂😂 (Zanzibari by registration). Huyu jamaa ni Mzanzibari kwa kuzaliwa (Zanzibari by birth) kwa mujibu wa Sheria ya Mzanzibari ya 1986. Huyu pia ni Mtanzania kwa kuzaliwa kwa mujibu wa sheria ya Uraia ya JMT.Huu sasa ni wakati muafaka huyu Sultan aruhusiwe kurejea Zanzibar.
P
Napenda kuchangia hoja ila sina uhakika wa nani mwenye mamlaka ya kutoa msamaha huo kati ya rais wa Zanzibar na rais wa Tanzania, naomba unieleweshe.Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.
Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.
Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.
Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.
Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...
Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.
Hili mnalionaje?.
Paskali
Yu hai at 96 years yuko Oman。Huyu mtu alisharuhusiwa kurudi Zanzibar tokea utawala wa Dr. Salmin Amour. Sasa ni kurudi tu akipenda na kama bado yuhai, kwani sina hakika kwamba yuhai.
ArudieMama, labda, arudie tena kama Rais wa JMT.
Napenda kuchangia hoja ila sina uhakika wa nani mwenye mamlaka ya kutoa msamaha huo kati ya rais wa Zanzibar na rais wa Tanzania, naomba unieleweshe.
Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.
Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.
Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.
Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.
Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...
Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi W
Ombi hili limezaa matunda Mapendekezo 10 Muhimu, Ujio Sultan wa Zanzibar, apewe Ving'ora, Kasri, atangaze Utalii,Mshindi wa Kweli Zanzibar 2025 Atangazwe To Heal Zanzibar!。Wanabodi
Kwa vile Rais Samia, ameisha onyesha nia ya dhati, (political will) ya kuliponya taifa kwa kauli na matendo, mnaonaje pia tukamshauri pia ayaponye na majeraha na makovu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwanza kwa kutoa an unconditional amnesty kwa wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi including Sultan aliyepinduliwa, wawe wako free kurejea Zanzibar and start afresh?.
Kisha aunde tume ya truth and reconciliation kutibu majeraha ya Mapinduzi na ya muungano.
Hoja hii imenijiq baada ya kuusoma mchango wa mwana jf huyu katika bandiko hili Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connections.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1732.
Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake.
Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Wakimbizi wakiisha pata hadhi ya ukimbizi, hawaruhusiwi kushughulika na siasa za nchi zao, hivyo huyu Sultan, alikuwa kimya toka ile 1964 hadi 1972 Karume alipouwawa Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Inawezekana Sultan Jamsid ambaye ni Mzee kwa sasa angetamani kuja ku... Zanzibar alikozaliwa kwa sasa amekubaliwa kuishi Oman hizi siku zake za mwish so that he can die in peace, ila huenda angetamani aitwe akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.
Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Mnaonaje tukimshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wakati wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wawe wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili siku ya wito ikifika, iwakute wakiitwa kutokea Zanzibar na sio siku hiyo iwakute uhamishoni!. Wakiondokea Zanzibar mahali walipo zaliwa, huenda wataondoka kwa amani zaidi ya kuondokea ugenini.
Amnesty hiyo sio kuurejeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...
Mnaionaje hoja hii?. Maana juzi kati, tulimuona hata Mama ana ndugu na jamaa kule, kama wako kule kwasababu waliimimbia Zanzibar, wafunguliwe milango, wanaotaka kurejea Zanzibar wawe free kurejea na wale waliozoea maisha ya kule then waendelee kuishi huko and you never know, unaweza kukuta hata yule Nobel laureate wetu Mzanzibari akarejea nyumbani ku settle Zanzibar ile midola ikawafaidia zaidi Wanzanzibari kuliko wazungu.
Hili mnalionaje?.
Paskali
Maneno ya busara sana haya。Makaburu walibagua, walitesa , waliua na kuwafunga akina Mandela vifungo vya maisha.
Mwisho blacks under Mandela walitokomeza ubaguzi, wakasamehe kwani walichopigania ni Africa Kusini yenye kuheshimu haki sawa kwa watu wote . Alihamasisha msamaha kwa makaburu bila kulipiza kisasi.
Hivyo kusahau mabaya ya waarabu na kumkubali Sultani arudi ni jambo la afya saana.
Bro, 52 years? This can’t be right! Ni miaka zaidi ya 60 sasa tangu Mapinduzi ya Zanzibar matokeo. Inawezekanaje Sultan awe na miaka 52?umeongea kitu cha maana sana, sultan arudi tu ukizingatia ana miaka 52 tu kwa sasa, wakati ule utoto tu ndo uliomkimbiza, akija awe seremonial leader kama kabaka mutesa wa uganda.