Dear Men....

Neno EXPENSIVE lina vinasaba vya pesa.
Kwahiyo hapo jibu ni tutafute pesa, maana hizo zingine ni mbwembwe tu.
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Haimaanishi pesa tu. Wapo wanaume wasiotoa pesa wanatunzwa. Huko ndo wanaafford kuwa kwenye relationship
 
The problem ya wanaume wa sasa wasiojielewa wanahisi akikupa pesa umemfanya baba yake mzazi,hawajui kua asili ya mwanamke ni kupewa!

U can't change nature
 
Ila wewe mtoto mzuri inabidi nikukune siku hadi ulale ndani wiki.
Hutakuwa na ham na wanaume tena.
 
Eeeh. Kwa wale wanaolalamika mwanamke anapenda pesa waende kwa wasiopenda pesa. Maana ndo wanawaafford.
Hakuna asiyependa pesa anaweza asipende pesa akataka attention yako na bado akaikosa pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…