Hahahah!
Halafu ukamjibu hivi "usihofu honey, njoo uchukue kilo 2 home jioni" huku unakuja kumalizia hasira zako humu. So funny!
looo nimecheka mpaka machozi, mwehh, hizo burungutu ndio shs ngapi, usikute elfu 50-100 unaita burungutu.
Hahahahaaaaaaa... Actually burungutu ni sh ngapi vile?
unajua hawa viumbe kwanini wanafanyiwa hivyo? enzi hizo nilikuwa nawaambiaga friends zangu kwamba hakuna mwanaume mbahili duniani, huyo hajazaliwa/hatokaa azaliwe, asipompa/kuhonga kaunga atanipa/nihonga nyamayao, na wewe pelekwa ukale chips vumbi mie napelekwa kibo palace nikapunge upepo,inatokana na anavyokuchukulia, wana grade zao hawa,wanalalama tu lakini hakuna ambae hatoi/haongi pesa kwa namna moja au nyingine.
No, nataka kusikia kwanza kutoka kwako "burunguti" unazotoa ni shs ngapi then tuendelee.
Hivi kwanini hawa watu hawakomi. Kila siku kazi yao kupiga mizinga. Hivi kila mtu angekua akihitaji hela anaomba tu maisha si yangekuwa easy. Watu tunapiga hustling za kufa mtu then jitu linakuja tu kuomba. "Dia babaako pambaf.. "
Yaani amenichekesha sana hasa sentensi ya mwisho, yaani kama namuona vile.
Maisha yao yanazunguka around us, ukitaka kujua mwangalie mtu ambaye ni ------- wa kuzaliwa jinsi gani anayoishi mradi yupo tu.
ha ha ha bahili.com elfu themanini anatoa thread akiombwa laki 5 huyu!!!!!Cc: Smile na Evelyn Salt.
Sitaki... machale yashancheza huko tutakakoendelea...
inawezekana mwanzoni ulimuonyesha wewe ni ka ATM, sasa afanyeje
ha ha ha bahili.com elfu themanini anatoa thread akiombwa laki 5 huyu!!!!!
okay, kwangu burungutu 2least kuanzia laki 7, tuendelee sasa, hutaki nini, endelea ujue na wewe ni wa maburungutu au vimkunjo tu unaviita burungutu, hahahah mtake msitake, kuhonga mtahonga kwa namna moja au nyingine.
Hiyo minimum nshaivuka mara kibao... any way, unasisitiza sana hili neno "kwa namna moja au nyingine"... kama vile una kaufafanuzi...
kudate watoto wa chuo kazi kweli kweli,hapa nimemnunulia baby wangu shati la pasaka laki na nusuTuacheni utani,, wanaume wa siku hizi tunajitia aibu,,, kweli dada zangu wana kazi,, sasa mpenzi wako amekwama elfu 80 tu kumsaidia inshu,,, kweli nimeamini wanaume wanaisha,,
poleni sana dada zangu,,, kumpa mpenzi wako hela sio kosa muhimu awe na sababu inayoeleweka anaomba kwa ajili ya nini...
Elfu themanini tu mtu unatoka povu hadi kumtusi mtu jamii forums,, tena ameomba ubavu wako mnaolala wote kama mlivyozaliwa,, ukiumwa yeye ndo anakuuguza, ukiwa na stress ye ndo anakupa furaha,,,
Kusema kweli mmetudhalilisha jinsia me kwa hii post
mwanaume kweli unatoa povu kisa elfu 80
kama huna kwanini unapenda vya bei ghali?
kule mwafrika baa je, kwani nao wanataka kiasi hicho?
wapo sana tuunajua hawa viumbe kwanini wanafanyiwa hivyo? enzi hizo nilikuwa nawaambiaga friends zangu kwamba hakuna mwanaume mbahili duniani, huyo hajazaliwa/hatokaa azaliwe, asipompa/kuhonga kaunga atanipa/nihonga nyamayao, na wewe pelekwa ukale chips vumbi mie napelekwa kibo palace nikapunge upepo,inatokana na anavyokuchukulia, wana grade zao hawa,wanalalama tu lakini hakuna ambae hatoi/haongi pesa kwa namna moja au nyingine.
kudate watoto wa chuo kazi kweli kweli,hapa nimemnunulia baby wangu shati la pasaka laki na nusu
akifulia ninamtoa kiroho safi kama vipi
sasa huyu kaombwa elfu themaninin analia hapa ukimuomba vacation muende dubai si atakufa hapohapo?