Ndo mambo ya kupenda boga upende na .................
ndo nashangaa hata mimi nishajifunza huyu bado 80k anaanzisha thread...
"Women, cant live with them, cant live without them! "
ni hivi sipendi kuhonga lakin nakua na wasichana at the same time akinikimbia natafuta mwingine mpaka ntakae mpata siye na mizinga...usipohonga ukubali kukimbiwa nikikimbiwa natafuta mwingine..."Hahahaha daaah mim ni muumin wa falsafa ya kutohonga lakini nimeshakubaliana na ukweli kwamba usipohonga unakimbiwa so mpango mzima akizingua nahamia kwengine mpaka kieleweke aisee"
[/COLOR]
Lyamber mbona hueleweki au unacheki upepo unakoelekea??????????
wewe ram ilibidi ukutane na mtu kama mim nakwambia ungekeuka Rom mwenyewe..wewe unatulia kwenye vitz tena sikufati kwenu unakuja na basi unadrop kituoni nakupitia nakupeleka kibandan cha chips unakula tunaenda zetu coco beach kula mihogo na mishkak...daahh nisimalizie routine zangu bure..na kama vp mafuta buku ten unaongeza nakula mzigo then nakurudisha..kwenu..shida zako usinletee maana hutaniskia mim hata cku moja nakupiga mzinga shida mpelekee mzee ram..over..Ahahahah! yaani dinner tu jamani ule mzigo, hata kama ni vitz, huko kwenye dinner naendaje, hujui ram anahitaji kupendeza, jamani kuwa na mwanamke ni gharama unless humpendi, 80000 ni hela ndogo mno
Na wewe siku moja m-text umwambie Dia, nina hamu sana ya TiGo, sasa utanisaidiaje?
Hivi kwanini hawa watu hawakomi. Kila siku kazi yao kupiga mizinga. Hivi kila mtu angekua akihitaji hela anaomba tu maisha si yangekuwa easy. Watu tunapiga hustling za kufa mtu then jitu linakuja tu kuomba. "Dia babaako pambaf.. "
ukiona mtu analalamika hadharani ujue limbwata hili la asili halikumpata vema. la sivo angetulia kama ananyolewa kama ulivofanya enzi hizoMi mara ya kwanza kabisa kumpa mwanamke ela nilimpa sh 2000. Iliniuma sana maana nilikuwa nimepewa pocket money 5000, nimeshatumia 1500 na nilipotoa hiyo elfu 2 ikabaki 1500 ambayo nilitakiwa kuibajeti hadi shule itakapofungwa miezi 5 ijayo! Niliteseka sana ile term maana hata 1500 ilikuwa natumia naye tena:angry:
Nililaani sana na nikajiapiza sitakaa nihonge mwanamke... Pamoja na kujiapiza kote, ukiniambia saa hizi eti ndo natoa viburungutu.... kweli hii ni laana...
siku moja baba alikuwa akiniaga wakati naenda shule akaniasa niwe makini na wadada kwani nikienda hovo maisha yanaweza kuniharibikia kabisa. enzi hizo nilikuwa mtu wa imani sana nikamwabia baba hilo kwangu halitanikuta . baba akasema hakuna mwanamume anayeweza kukwepa kama ni mzima. sikumwelewa siku nilipojikuta nashikwa kisawasawa nikaikummbuka sentensi ya baba. pamoja na hayo ukiwa na imani nafasi ya kushinda ni kubwa zaaidi. tusijisifu sana madume kwani tumeanza tabia ya kuwatoa upepo kinaadada. jioni njemasi mchezo
Tukana matusi yote, lakini mwisho wa siku utazama kwenye pochi... na kama kumekauka utakopa...
This thing between women's legs is a laana.
Mi mara ya kwanza kabisa kumpa mwanamke ela nilimpa sh 2000. Iliniuma sana maana nilikuwa nimepewa pocket money 5000, nimeshatumia 1500 na nilipotoa hiyo elfu 2 ikabaki 1500 ambayo nilitakiwa kuibajeti hadi shule itakapofungwa miezi 5 ijayo! Niliteseka sana ile term maana hata 1500 ilikuwa natumia naye tena:angry:
Nililaani sana na nikajiapiza sitakaa nihonge mwanamke... Pamoja na kujiapiza kote, ukiniambia saa hizi eti ndo natoa viburungutu.... kweli hii ni laana...
MKATA KIU ungekuwa huna mchumba ningejipendekezaje kwakooo
mie nashangaa sana mie na baby wangu akitaka milioni nampa nikitaka milioni 2 ananipa tena hatuna hata sababu
he he he simuachii ng'ooo mtu hela hata dinner serena haitoshi analalamika
mfyoooo ukija kwa amu ujue ndo hivyo nakusaidia unanisaidia