Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
- Thread starter
-
- #181
Basi hata hivyo hela yao imepanda thamani kidogo ilitakiwa kuwa laki tano! Akizitumia huko Uganda ni hela nyingi sana! Hata hivyo hakuna Mtanzania ana weza piga show kwa kiingilio cha Laki 6 ni hela nyingi sana!
Mrembo eeeee huyo swahiba hebu mtajeeeeer nami nimuoneeee
Hahahahahaha ni wewe kwani hujijui??
Hhhhhhhhhhaaaaaaaa,sasa mbona hao matajiri hadumu nao atawapata wengi lakini cha muhimu atafute na pesa yake uwezekano wa wema kua kibopa ni mkubwa mnooo,,,
Hhhhhhaaaaa jamaniiiii mi leo naumwaa sibishan ntaumwa zaidiii
Leo Dina anaumwa pole ila kwani vidole ndo vinauma?
Haloooooooo kubwa Sana....matajiri yeye ndio anawatema .. Nilishapata news kwamva wema alikuwa demu wa morocco alafu kuna bongo movie flani nimemsahau jina alikiwa anatoka na raisi wa moroco we subiri mseven afike bei Wema auziwe mbuga ya tsavo ndo utafurahi hahahah. Wema anaproject zake sema ameweka siri (Ana mjengo wa gorofa anapandisha tegeta km sikosei). Hata show up anazofanya ni hela inaingia si kwamba yuko idle. Au hadi aamke alfajiri kiwahi ofisini ndo mkubali kwamba anafanya kazi?
Hahahahahahahah we mbayaaa dereva Romy Jones na kondakta ni lebig show
Diamond anaweza kummaliza Wema kwa Presha!
Diamond anaweza kummaliza Wema kwa Presha!
Napita tu ngoja nikachekee chooniiii kwa rahaaaaa
Hahahaha y ujibane ukachekee chooni ...jiachie kwa raha zako bana hhahah sema safari hii unayemshabikia kicheche
Diamond anaweza kummaliza Wema kwa Presha!
Diamond anaweza kummaliza Wema kwa Presha!
Yoye yanawezekana chini ya jua ...ila hawaaaaa mhhh wanayaweza
Lakini huyu wema si ndio kila mtu alishauri amuache domo???
Mwacheni domo mpenda kiki na zari mpenda kiki waendelee na le project
Wema akaze buti usirudiiiiiiiii
Angekua na uwezo na yeye angepga picha na vibopa wake tatizo ni vibabu na ni waume wa watu.
hahahahaHata Wema muda huh anaogeshewa hela hehehe ngoma droo
hahahaha
Mbona harushi picha?