Decoder ya Azam ni moja ya Decoder za ovyo/cheap quality ambazo nimepata zitumia

Kifupi sio remote tu mpka maudhui Yao bado ya hovyo na hayajawahi nishawishi , at bei zao tu sio rafiki yaani Kuna mda unauziwa laki mbili kwa seti Moja !!Content zao nyingi ukiondoa michezo ni biased pia so kwa kua taifa limetupa uhuru wa kuchagua heri kujiongeza tu ukae kwingine .😀😀😀😀
 
Jamiiiforums raha sana , eti " dishi limeoza, remote ina makengeza".
 
Yangu hadi uipige pige ndio inafanya kazi

Pili rimot ya tv yangu star x inaingiliana na king'amuzi so nikiongeza sauti tv kwenye decoder inabadili chanel kutokaza tv to redio.
 
Azam wana matatizo , ukiongeza sauti yenyewe inapunguza saut ya know tv...ya kwanza ilishakufa hii ni mpya.

Nadhan wameamua wafanye biashara kwenye hizo remote.
 
Mkuu remote wamekataa kutoa bure, mimi nina king'amuzi cha antenna, button kadhaa ziliacha kufanya kazi ikowa ni mwezi mmoja tu baada ya kununua, nilipoenda Mbezi kwenye duka lao la matengenezo wakaniambia AZAM wanatengeneza decorder tu rimoti natakiwa kununua, Tshs. 15,000/=, sasa hizo za bure for replacement wanatoa wapi?
 
Jaribu kuwekea battery mpya mi remote yangu nimeanza kuitumia toka 2016 Hadi leo ukibadilisha battery inapiga mzigo fresh ingawa hizo tabia huwa zinatokea mara chache sana hasa battery ikiwa imetumika mda mrefu...
 
Jaribu kuwekea battery mpya mi remote yangu nimeanza kuitumia toka 2016 Hadi leo ukibadilisha battery inapiga mzigo fresh ingawa hizo tabia huwa zinatokea mara chache sana hasa battery ikiwa imetumika mda mrefu...
Daaah.... Yaani unaamini battery ndo sababu? 🤣 Battery ni issue ndogo sana ambayo matokeo yake huonekana kirahisi pale ambapo remote hai respond. Hapo nimezungumzia kupeleka wrong information kwenye TV. Unabonyeza menu. Yenyewe ina ongeza sauti. Unaongeza sauti yenyewe inazima. Inawezekana ya kwako ilitengenezwa kwa viwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…