Decoder ya Azam ni moja ya Decoder za ovyo/cheap quality ambazo nimepata zitumia

Mimi king'amuzi Chao kina kwama kwama Sana..unaweza ukawa unatazama kipindi..ghafla inastaki mpaka.ukazime na kuwasha kwenye main switch
 
Wenzetu mambele wanakuaga na kipindi flani (mwezi moja hadi sita) kwamba kuna bidhaa ukinunua usiporidhika nayo unaweza kurudisha. Azam wangeweka hii ningerudisha kadude kao. Bora niendelee kupambana na DStv
 
Mim sisem sana mana itakua kama unaonekana unaishambulia.
Nachojiuliza ni sawa vifurushi vinawekwa kibiashara.

Hiv aljzeera arabic kwneye kifurush cha 23000 hamweki chanel hio ila mmeacha ajzeera English...sasa ndio nini kwa mfano kwamza news chanel nazo ni za kuweka kwenye mavifurushi ya bei juu ??
Na kwanin RT mmeiondoa sa ndio nini
 
Bongo kila kitu hovyo, Zuku wapo vizuri,hila hawakuwa wabunifu tu tokea mwanzo,wangeliteka soko la tz
 
Labda za miaka hii ndiyo fake,ninayoremote nilinunua na dish lake miaka 6-7 iliyopita,ila haijawahi kunizingua na sijawahi kubadilisha remote zote mbili.

Natumia ila dish lao ni lakipuuzi sana mvua kidogo tu,linakata matangazo.........
 
Hii remote mimi nimenunua pamoja na package nzima ya king'amuzi na Dish, lakini kiukweli ni nyepesi na haina ubora wowote.... Imenibidi ninunue ingine kubwa na imara kidogo
 
Hoja ya kindezi sana hii, cha bure pale ni kile kifurushi cha mwezi mmoja unachopewa baasiii... Lakini remote, waya za HDMI na vikoro koro vingine vyote viko kwenye package ya bei sawa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…