Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Ok sasa tcra wakikukuta siyo mzozo
Sasa si hadi wakukamate mzee mwenzangu...
Juu unafunga dish lolote la ku (dish dogo), kama la Azam, DStV au hata yasio na majina yale ya K'koo lakini ndani unakuwa unakula vyombo vya Canal+