Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari kutoka huku Mkoani Shinyanga, halmashauri ya Ushetu, ni kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Iramba- Singida, anashikiliwa na Polisi.
Mkurugenzi Mtendaji huyo Michael Matomola anashikiliwa kwa ubadhirifu wa Milioni 180, fedha za halmashauri ya Ushetu iliyopo hapa Shinyanga. Amri ya kukamatwa kwake Ilitolewa na TAKUKURU baada ya malalamiko kutoka kwa Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo.
DED Michael Matomola alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ushetu kabla ya kuhamishiwa Iramba mkoani singida.
Mkurugenzi Mtendaji huyo Michael Matomola anashikiliwa kwa ubadhirifu wa Milioni 180, fedha za halmashauri ya Ushetu iliyopo hapa Shinyanga. Amri ya kukamatwa kwake Ilitolewa na TAKUKURU baada ya malalamiko kutoka kwa Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo.
DED Michael Matomola alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ushetu kabla ya kuhamishiwa Iramba mkoani singida.