Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Wanastahili pongezi, ajabu bado watuhumiwa hawatenguliwi.Kama kweli TAKUKURU mmeamua kufungua ukurasa mpya,BASI HONGERENI,..maana huyu ni kigogo wa Pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanastahili pongezi, ajabu bado watuhumiwa hawatenguliwi.Kama kweli TAKUKURU mmeamua kufungua ukurasa mpya,BASI HONGERENI,..maana huyu ni kigogo wa Pili
Nasikia Kuna hela Sana.kahama kuna jipu kubwa watu wanapiga huku serikali muangalie upya.
Mimi naona kifungo cha maisha na kazi ngumu gerezani yatosha. Ili ajutie vizuri makosa yake.Hatua zenyewe hazimtii hata muwasho mhalifu, ingekuwa wanapigwa risasi hakuna mtu angefanya huo ujinga
Huyu jamaa kama ni yeye ninayemfahamu anajisikia sana ukifika ofisini kwake hata watu wazima wanamwogopaHabari kutoka huku Mkoani Shinyanga, halmashauri ya Ushetu, ni kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Iramba- Singida, anashikiliwa na Polisi.
Mkurugenzi Mtendaji huyo Michael Matomola anashikiliwa kwa ubadhirifu wa Milioni 180, fedha za halmashauri ya Ushetu iliyopo hapa Shinyanga. Amri ya kukamatwa kwake Ilitolewa na TAKUKURU baada ya malalamiko kutoka kwa Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo.
DED Michael Matomola alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ushetu kabla ya kuhamishiwa Iramba mkoani singida.