Tetesi: DED Iramba ashikiliwa Ushetu Shinyanga kwa ubadhirifu wa Milioni Tsh. 180 alipokuwa DED

Hatua zenyewe hazimtii hata muwasho mhalifu, ingekuwa wanapigwa risasi hakuna mtu angefanya huo ujinga
Mimi naona kifungo cha maisha na kazi ngumu gerezani yatosha. Ili ajutie vizuri makosa yake.
 
Huyu jamaa kama ni yeye ninayemfahamu anajisikia sana ukifika ofisini kwake hata watu wazima wanamwogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…