DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

Tena huyo Muddy alimpigia simu mwalimu aliyekuwa amekabidhiwa shule na mwalimu mkuu aliyevuliwa madaraka; akamjulisha kuwa yeye (Muddy) ndiye ameteuliwa kuwa mwalimu mkuu Bundilya S/M, kwa hiyo aandae makabidhiano haraka jamaa yuko njiani kuja kuripoti!!
Naona Muddy aliambiwa afanye chapchap uteuzi usije ukapigwa "ajua" kutokana na yanayojiri mitandaoni. Kwa kawaida Muddy alitakiwa aanzie kuripoti kwa MEK wake wa Kahangara; ambaye ndiye msimamizi wa mtiririko mzima wa makabidhiano.
Kwahiyo Mwalimu yule wa Kike mweupe aliekuwa Bundilya mmemtumbua?
 
Noma sana ...
Umeamua kujiunga upya kujibu shutuma aisee!
Wewe ndio yupi kati ya wanaotajwa na mlalamikaji?
Nina imani DED analifanyia kazi maana ujumbe umemfikia.
Watumikieni watanzania katika haki na usawa, cheo ni dhamana.
Huyo KANYEGELO a.k.a. KANYEGE mpaka atabadilisha jina awe MANYEGE maana mzigo alioamua kuubeba kuwatetea walalamikiwa hana uwezo wa kuubeba; hana hoja, hana uwezo, ni mbumbumbu tu maana hata uandishi wake ni wa ovyo ovyo sana; soma posts zake utabaini ukweli wa ninayokueleza.
Eti madeni, kadi ziko kwa wakopeshaji!! Hiyo si ajabu kwa maisha ya watumishi wa Tanzania. Hilo ni janga; si ajabu hata kadi ya Glory au ya Johari au ya Prisca ziko kwa wakopeshaji MEK Mbochi akiwa mmoja wa wapiga riba hao!! Na inawezekana Johari anahusika na kuwachuuza waalimu kwa Mbochi maana ni hawara yake!! Mtamsingizia Majura bure kwamba anahusika kuandika mambo haya; lakini mapenzi ya Mbochi na Johari yako bayana sana; japo wao wanadhani wamejificha!! Mtu mzima utajificha kwenye shamba la njugumawe au dengu? Umekuwa mdudu? Utaonekana tu!! Anyway; that's personal; but mind you that, if you are living in a glass house, never throw stones to others because if they retaliate, your house will break and you will be stoned as well.
Kama Majura alikuwa anawasaidia waalimu kupatana na wadeni wao ili wasisumbuliwe, alikuwa anafanya kazi njema kama kiongozi ili kuwapunguza pressure wadeni wa waalimu. Kiongozi wa kweli kwa kawaida anakuwa problems solver pale panapowezekana; palipo pagumu anatafuta njia; hawi lopolopo (msema ovyo) kama Glory, Johari na wewe wanayekutuma. Sawa; napambana na hali yangu hata sasa; na mapambano yangu wewe huyawezi, huna hoja. Washauri hao waliokutuma waende shule ili wajenge uwezo wa kufanya hizo kazi kwa ufanisi, ndiyo silaha ya mtumishi. Hizo nanhii wanazozitegemea kama stepping stones kuwavusha zinazeeka; lakini ujuzi hauzeeki.
 
Unapata dhambi bure kum-suspect teacher Sinda, utamponza bure mnyaturu wa watu; Ilongero yote itakulilia!!
Msalimie sana teacher sinda, JJ, bwana miti, maticha wote Wa wita, Kisesa na bujora, OCS na askari wake, wauguzi na mdaktari sekou toure ndogo, rest in peace diwani mabina, masela Wa stand ya kwanza na ya mwisho jiwe la mkapa, wacheza ngoma bujora, wezi na vibaka wote kitaani, wachawi na walozi wote, wauza ngada wote ila bangi za pale kwa marehemu lukona zilikuwa amazing sana mazee, marehemu bubu mlilostisha kinoma nyie raia hamfai kabisa, salimia wote kabisa.
Nimemiss crew ya halmashauri na viunga vyake, wapiga dili wote enzi za ngudungi na jaclini lihana.
 
Hivi yule DSO kitombi bado yupo hapo?
Dingi alikuwa msambazaji mzuri sana Wa Umeme yule, ukimuingilia anga zake unapewa kesi ya uhujumu uchumi, Revo chapombe mhasibu smart, avelina, dt Mmasai, kulikuwaga na afisa utumishi mkuda sana zama zile kabla vijana Wa Kilimanjaro hawajaja hapo.
Wazee Wa maliasili kabla hawajapunguziwa busega wilaya mpya
Nimemiss enzi za umachinga wangu mkoa Wa mwanza na halmashauri zake.
Unapata dhambi bure kum-suspect teacher Sinda, utamponza bure mnyaturu wa watu; Ilongero yote itakulilia!!
 
Msalimie sana teacher sinda, JJ, bwana miti, maticha wote Wa wita, Kisesa na bujora, OCS na askari wake, wauguzi na mdaktari sekou toure ndogo, rest in peace diwani mabina, masela Wa stand ya kwanza na ya mwisho jiwe la mkapa, wacheza ngoma bujora, wezi na vibaka wote kitaani, wachawi na walozi wote, wauza ngada wote ila bangi za pale kwa marehemu lukona zilikuwa amazing sana mazee, marehemu bubu mlilostisha kinoma nyie raia hamfai kabisa, salimia wote kabisa.
Nimemiss crew ya halmashauri na viunga vyake, wapiga dili wote enzi za ngudungi na jaclini lihana.
Hata kuandika huwezi mzee? Siyo Lihana, anaitwa Liana. Alafu unaandika kama mwehi fulani hivi
 
Hata kuandika huwezi mzee? Siyo Lihana, anaitwa Liana. Alafu unaandika kama mwehi fulani hivi
Lazima utakuwa miongoni mwa waliotajwa na mleta mada na ukamua kuja na I'd mpya kabisa kujibu mashambulizi.
Nitawezaje kuandika nami mimesomeshwa memkwa na JJ na mwenzie kanyuma pale wita? Hebu niondolee ukichaa wako,Lutengano anawashughulikia ninyi haki za watu zipatikane .....
 
Huyo KANYEGELO a.k.a. KANYEGE mpaka atabadilisha jina awe MANYEGE maana mzigo alioamua kuubeba kuwatetea walalamikiwa hana uwezo wa kuubeba; hana hoja, hana uwezo, ni mbumbumbu tu maana hata uandishi wake ni wa ovyo ovyo sana; soma posts zake utabaini ukweli wa ninayokueleza.
Eti madeni, kadi ziko kwa wakopeshaji!! Hiyo si ajabu kwa maisha ya watumishi wa Tanzania. Hilo ni janga; si ajabu hata kadi ya Glory au ya Johari au ya Prisca ziko kwa wakopeshaji MEK Mbochi akiwa mmoja wa wapiga riba hao!! Na inawezekana Johari anahusika na kuwachuuza waalimu kwa Mbochi maana ni hawara yake!! Mtamsingizia Majura bure kwamba anahusika kuandika mambo haya; lakini mapenzi ya Mbochi na Johari yako bayana sana; japo wao wanadhani wamejificha!! Mtu mzima utajificha kwenye shamba la njugumawe au dengu? Umekuwa mdudu? Utaonekana tu!! Anyway; that's personal; but mind you that, if you are living in a glass house, never throw stones to others because if they retaliate, your house will break and you will be stoned as well.
Kama Majura alikuwa anawasaidia waalimu kupatana na wadeni wao ili wasisumbuliwe, alikuwa anafanya kazi njema kama kiongozi ili kuwapunguza pressure wadeni wa waalimu. Kiongozi wa kweli kwa kawaida anakuwa problems solver pale panapowezekana; palipo pagumu anatafuta njia; hawi lopolopo (msema ovyo) kama Glory, Johari na wewe wanayekutuma. Sawa; napambana na hali yangu hata sasa; na mapambano yangu wewe huyawezi, huna hoja. Washauri hao waliokutuma waende shule ili wajenge uwezo wa kufanya hizo kazi kwa ufanisi, ndiyo silaha ya mtumishi. Hizo nanhii wanazozitegemea kama stepping stones kuwavusha zinazeeka; lakini ujuzi hauzeeki.
Wewe hata utukane !! Nakuona mpuuzi tu ...familia iloshakushinda mkeo ulishamrudisha kwao ..

Kazi kuzunguka kwenye bar kuomba offer ya bia utadhani sio mtumishi

Huna lolote ...mnayempigia debe ndiyo alishaondolewa Mzizi .....
 
Wewe hata utukane !! Nakuona mpuuzi tu ...familia iloshakushinda mkeo ulishamrudisha kwao ..

Kazi kuzunguka kwenye bar kuomba offer ya bia utadhani sio mtumishi

Huna lolote ...mnayempigia debe ndiyo alishaondolewa Mzizi .....
Acha kujiliza wewe MANYEGE; kuambiwa ukweli wako umetukanwa? Umeng'ang'ana eti Majura Malaya!! Wewe ulijuaje? Ndio maana nikakuuliza, amekukazia mkeo? Au wewe ni demu ulijilengesha akakutia mti akakupiga kibuti roho inauma?
Nimekushauri; jibu hoja zinazolalamikiwa kama una majibu; defensive mechanism ya kumtukana yeyote haikusaidii wewe mwenyewe na waliokutuma; sana sana inakuonesha ulivyo bogus!!
Mimi siyo mtumishi, sijawahi kurudisha mke kwao na sijaoa wala sinywi pombe!! Mtapata tabu sana ku-suspect watu!! You have no guts of getting right information and data.
Glory na genge lake hajamkomoa Majura, mnahangaika tu na mmetutia damage wana-Magu kwa kutuondolea mchapa kazi idara ya elimu.
Yeye binafsi Majura uhamisho huo kwake ni advantage; amelipwa pesa karibu 7M/=, zitam-boost kwenye mambo yake; emehamia Misungwi karibu zaidi na familia yake, anaweza kwenda Misungwi kazini na kurudi Mwanza nyumbani kwake; bado anaendelea na nafasi yake kama SLO Misungwi. Nani fala? Wewe na timu yako au Majura? MANYEGE wewe!!
 
Mi ninachoona hapo ni strugle for power !! Mwanaume unakuwa na ghubu ...kama unaushahidi peleka pcb, peleka barua kwa mkurugenzi ..

Mwanaume unakuwa Muoga unakuja kisema huku kwenye jamii foromu cjui D.O, mara cjui kafanya hivi ...

Hao vijana wasomi walikuwa wanaiendesha ofisi ni akina nani ?? Acheni ushamba elimu ya formu IV division 28,

Hujui kupangilia matinki unaongea kama umetoka kula ugali na furu .....Majura ANALIPI ?? Kafanya

Nawasi was na wewe Nenda kapime mkojo kabisa

D.O...anapiga kazi , hana kupindisha au kwa vile ni mlokole ndio mnapinga ??? Mmekwama madili yenu!!!

Badilika kaka kumsengenya boss wako ...ni dalili za kuishiwa nguvu za kiume kama ni mwanamke njoo tukuvalishe na dera basi
Kati ya wewe na mimi wana JF wataamua nani mshamba.
Kati ya wewe na mimi wana JF wataamua nani ameandika hoja zenye mashiko na nani ameandika upumbavu.
Wewe ndio kilaza kabisa; hata hiyo fake ID yako inaonyesha "MADAMU Bahati". Pumbavu sana; acha kuchafua lugha za watu; huwezi hata kuandika Madam badala yake unaandika madamu!! Madamu ndiyo nini? Afadhali hata mwenzako MANYEGE; wewe MADAMU.
Mzigo mnaotumwa kumbebea Glory ni mzito sana; hamwezi kuufikisha, mtakufa nao, mwacheni aubebe mwenyewe.
I am not struggling for any powers from DEO's office; nina shughuli zangu za binafsi zinazonitosha, na katika maisha yangu siwezi kuwa DEO au Civil Servant wa ngazi yoyote. Lakini kama mwananchi, nina haki ya kufikisha malalamiko yangu popote na kwa njia yoyote niitakayo.
Mbumbumbu wewe; andika wewe barua kwa umtakaye, usiniamru mimi kuandika barua kwa DED katika kipindi hiki cha kidigitali tunapokwenda na e_Government; watu wanatumia kompyuta, laptops na tablets kuwasiliana kwa emails, Skype n.k; wewe unaniambia niandike barua kwa DED? Kaa hapohapo na MADAMU yako au kalaga baho na ubozi wako!!
Unasema Glory Mtui ni mlokole; ameokoka leo? Hakuna mti mzuri utoao matunda mabaya; wala hakuna mti mbaya utoao mazuri.
 
Hahahahahah....... Ndg yangu pole sana. Mara nyingi huwa nasema wanangu kufundishwa na mwalimu kama huyo mjumbe haitokuja tokea. Mungu anipe uhai mrefu kikombe hicho kiwaepuke wanangu.
Kati ya wewe na mimi wana JF wataamua nani mshamba.
Kati ya wewe na mimi wana JF wataamua nani ameandika hoja zenye mashiko na nani ameandika upumbavu.
Wewe ndio kilaza kabisa; hata hiyo fake ID yako inaonyesha "MADAMU Bahati". Pumbavu sana; acha kuchafua lugha za watu; huwezi hata kuandika Madam badala yake unaandika madamu!! Madamu ndiyo nini? Afadhali hata mwenzako MANYEGE; wewe MADAMU.
Mzigo mnaotumwa kumbebea Glory ni mzito sana; hamwezi kuufikisha, mtakufa nao, mwacheni aubebe mwenyewe.
I am not struggling for any powers from DEO's office; nina shughuli zangu za binafsi zinazonitosha, na katika maisha yangu siwezi kuwa DEO au Civil Servant wa ngazi yoyote. Lakini kama mwananchi, nina haki ya kufikisha malalamiko yangu popote na kwa njia yoyote niitakayo.
Mbumbumbu wewe; andika wewe barua kwa umtakaye, usiniamru mimi kuandika barua kwa DED katika kipindi hiki cha kidigitali tunapokwenda na e_Government; watu wanatumia kompyuta, laptops na tablets kuwasiliana kwa emails, Skype n.k; wewe unaniambia niandike barua kwa DED? Kaa hapohapo na MADAMU yako au kalaga baho na ubozi wako!!
Unasema Glory Mtui ni mlokole; ameokoka leo? Hakuna mti mzuri utoao matunda mabaya; wala hakuna mti mbaya utoao mazuri.
 
Acha matusi we mwalimu fukara na mpumbavu!! Unayo nafasi ya kutoka ktk huo ulimwengu wa laana kama ukirudi kusoma na kuachana na roho za kichawi zilizopo huko.
Acha kujiliza wewe MANYEGE; kuambiwa ukweli wako umetukanwa? Umeng'ang'ana eti Majura Malaya!! Wewe ulijuaje? Ndio maana nikakuuliza, amekukazia mkeo? Au wewe ni demu ulijilengesha akakutia mti akakupiga kibuti roho inauma?
Nimekushauri; jibu hoja zinazolalamikiwa kama una majibu; defensive mechanism ya kumtukana yeyote haikusaidii wewe mwenyewe na waliokutuma; sana sana inakuonesha ulivyo bogus!!
Mimi siyo mtumishi, sijawahi kurudisha mke kwao na sijaoa wala sinywi pombe!! Mtapata tabu sana ku-suspect watu!! You have no guts of getting right information and data.
Glory na genge lake hajamkomoa Majura, mnahangaika tu na mmetutia damage wana-Magu kwa kutuondolea mchapa kazi idara ya elimu.
Yeye binafsi Majura uhamisho huo kwake ni advantage; amelipwa pesa karibu 7M/=, zitam-boost kwenye mambo yake; emehamia Misungwi karibu zaidi na familia yake, anaweza kwenda Misungwi kazini na kurudi Mwanza nyumbani kwake; bado anaendelea na nafasi yake kama SLO Misungwi. Nani fala? Wewe na timu yako au Majura? MANYEGE wewe!!
 
Unakasirika nini wewe kisonoko bedui? Acha husda na choyo majinuni wewe.

Utakufa nacho kijiba cha roho
Kati ya wewe na mimi wana JF wataamua nani mshamba.
Kati ya wewe na mimi wana JF wataamua nani ameandika hoja zenye mashiko na nani ameandika upumbavu.
Wewe ndio kilaza kabisa; hata hiyo fake ID yako inaonyesha "MADAMU Bahati". Pumbavu sana; acha kuchafua lugha za watu; huwezi hata kuandika Madam badala yake unaandika madamu!! Madamu ndiyo nini? Afadhali hata mwenzako MANYEGE; wewe MADAMU.
Mzigo mnaotumwa kumbebea Glory ni mzito sana; hamwezi kuufikisha, mtakufa nao, mwacheni aubebe mwenyewe.
I am not struggling for any powers from DEO's office; nina shughuli zangu za binafsi zinazonitosha, na katika maisha yangu siwezi kuwa DEO au Civil Servant wa ngazi yoyote. Lakini kama mwananchi, nina haki ya kufikisha malalamiko yangu popote na kwa njia yoyote niitakayo.
Mbumbumbu wewe; andika wewe barua kwa umtakaye, usiniamru mimi kuandika barua kwa DED katika kipindi hiki cha kidigitali tunapokwenda na e_Government; watu wanatumia kompyuta, laptops na tablets kuwasiliana kwa emails, Skype n.k; wewe unaniambia niandike barua kwa DED? Kaa hapohapo na MADAMU yako au kalaga baho na ubozi wako!!
Unasema Glory Mtui ni mlokole; ameokoka leo? Hakuna mti mzuri utoao matunda mabaya; wala hakuna mti mbaya utoao mazuri.
 
Acha matusi we mwalimu fukara na mpumbavu!! Unayo nafasi ya kutoka ktk huo ulimwengu wa laana kama ukirudi kusoma na kuachana na roho za kichawi zilizopo huko.
Wapumbavu ni ninyi mnaojaa gas na kumwaga matusi badala ya kuchangia mjadala; siyo lazima kwa kuunga mkono, lakini hata kwa kukanusha au kujibu kwa hoja.
Hao wapumbavu wenzio MANYEGE na MADAMU wamefungua akaunti zao JF ili kum-defend Glory kwa kumwaga matusi badala ya kujibu hoja zilizotolewa kwenye thread ya tarehe 05/11/2019.
Manyege kafungua akaunti tarehe 12/11/2019, post yake ya kwanza ni kwenye hii thread na kaanza kwa kumwaga matusi.
Madamu kafungua akaunti jana around saa 11 jioni; post yake ya kwanza kwenye hii thread amepost around saa 12 jioni, nae kwa kumwaga matusi!!
Wewe ni JF Expert Member; hongera, lakini na wewe badala ya kujibu hoja unamwaga matusi na kashfa tu tena usiku wa manane. Unaniita mpumbavu, mwalimu fukara (japo mimi siyo mwalimu), mchawi, kisonoko, niliyelaanika n.k. Hiyo ndiyo namna mliyochagua ya kumtetea Glory na genge lake.
Wewe Lusungo nimefuatilia post zako kadhaa kati ya zaidi ya 20,000 ulizonazo; nimegundua kwamba una kawaida ya kuwatusi watu unaopingana nao kwa hoja; ni kawaida yako, sikushangai; huna uwezo wa kujenga hoja na kutafakari mambo kwa kina kabla ya kuandika.
Inawezekana hata real life style yako ndivyo ilivyo.
Hata kama wewe ni JF Expert Member, mimi nakuona mpumbavu tu kutokana na style ya uandishi wako.
 
Wewe hata utukane !! Nakuona mpuuzi tu ...familia iloshakushinda mkeo ulishamrudisha kwao ..

Kazi kuzunguka kwenye bar kuomba offer ya bia utadhani sio mtumishi

Huna lolote ...mnayempigia debe ndiyo alishaondolewa Mzizi .....
Kumbe mnajuana?
Mpeana makavu tu mkikutana huko bar ili yaishe!
 
Mi ninachoona hapo ni strugle for power !! Mwanaume unakuwa na ghubu ...kama unaushahidi peleka pcb, peleka barua kwa mkurugenzi ..

Mwanaume unakuwa Muoga unakuja kisema huku kwenye jamii foromu cjui D.O, mara cjui kafanya hivi ...

Hao vijana wasomi walikuwa wanaiendesha ofisi ni akina nani ?? Acheni ushamba elimu ya formu IV division 28,

Hujui kupangilia matinki unaongea kama umetoka kula ugali na furu .....Majura ANALIPI ?? Kafanya

Nawasi was na wewe Nenda kapime mkojo kabisa

D.O...anapiga kazi , hana kupindisha au kwa vile ni mlokole ndio mnapinga ??? Mmekwama madili yenu!!!

Badilika kaka kumsengenya boss wako ...ni dalili za kuishiwa nguvu za kiume kama ni mwanamke njoo tukuvalishe na dera basi
Wewe madam bahati Wa wita?
Msalimie lauwo na Eva bila kumsahau sinda
 
Dah!

Lutengano njoo huku pulizi watumishi wako wanatoana upepo...
Wapumbavu ni ninyi mnaojaa gas na kumwaga matusi badala ya kuchangia mjadala; siyo lazima kwa kuunga mkono, lakini hata kwa kukanusha au kujibu kwa hoja.
Hao wapumbavu wenzio MANYEGE na MADAMU wamefungua akaunti zao JF ili kum-defend Glory kwa kumwaga matusi badala ya kujibu hoja zilizotolewa kwenye thread ya tarehe 05/11/2019.
Manyege kafungua akaunti tarehe 12/11/2019, post yake ya kwanza ni kwenye hii thread na kaanza kwa kumwaga matusi.
Madamu kafungua akaunti jana around saa 11 jioni; post yake ya kwanza kwenye hii thread amepost around saa 12 jioni, nae kwa kumwaga matusi!!
Wewe ni JF Expert Member; hongera, lakini na wewe badala ya kujibu hoja unamwaga matusi na kashfa tu tena usiku wa manane. Unaniita mpumbavu, mwalimu fukara (japo mimi siyo mwalimu), mchawi, kisonoko, niliyelaanika n.k. Hiyo ndiyo namna mliyochagua ya kumtetea Glory na genge lake.
Wewe Lusungo nimefuatilia post zako kadhaa kati ya zaidi ya 20,000 ulizonazo; nimegundua kwamba una kawaida ya kuwatusi watu unaopingana nao kwa hoja; ni kawaida yako, sikushangai; huna uwezo wa kujenga hoja na kutafakari mambo kwa kina kabla ya kuandika.
Inawezekana hata real life style yako ndivyo ilivyo.
Hata kama wewe ni JF Expert Member, mimi nakuona mpumbavu tu kutokana na style ya uandishi wako.
 
Back
Top Bottom