DED Manyoni uwe na utu katika utendaji wako wa kazi, afya ni nguzo kuu ya mtu

DED Manyoni uwe na utu katika utendaji wako wa kazi, afya ni nguzo kuu ya mtu

Day 1 gongs

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
392
Reaction score
758
Habari wanajf,

DED Manyoni uwe na utu Kwa watumishi walio Chini yako haswa ukizingatia afya ndiyo msingi wa rasilimali watu, Kipi kinakufanya kushindwa kumruhusu mtumishi wako Kada ya Uchumi ambaye anasumbuliwa na maradhi ya mapafu tena Kwa uthibitisho wa Medical Report ya Daktari kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili aweze kuhamia karibu na Daktari na unakaza fuvu.

Mtumishi amepambania huko utumishi imebaki idhini yako lakini upo kupiga chenga hivi unataka afariki hapo kituoni uweze pata cha kuongea, Mpunguzie safari za kliniki kila wiki maana hata kazi awezi kufanya kwa ufanisi Kwa kubanwa Kwa mbavu mara Kwa mara na kupaswa kufika Kwa Daktari.

HIZI NAFASI ZA UTEUZI ZINAPASWA KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA BILA KUANGALIA UKADA WA MTU HII NI KUTIA DOA CHAMA TAWALA.
 
Daah pole yake mhusika, ila tusisahau kesho wote tukitoka duniani tutakuwa mahakama ya haki ambayo itatuhukumu kulingana na matendo yetu, na kila mmoja atalipwa ujira wake sawasawa na alichotenda wakati wa uhai wake.

Tuwatendee wema wahitaji na sisi tutalipwa mema kwa wakati wake.
 
Suluhu ni kuonana na huyo DED uso Kwa USO,. Atakavyokujibu Kama hujaridhika muone mkuu wa Wilaya.
 
Suluhu ni kuonana na huyo DED uso Kwa USO,. Atakavyokujibu Kama hujaridhika muone mkuu wa Wilaya.
Amepata kumuona USO Kwa USO lakini amekuwa na Kiburi Kwa kusema hata mkipiga simu juu haitosaidia kumruhusu.
 
Daah pole yake mhusika, ila tusisahau kesho wote tukitoka duniani tutakuwa mahakama ya haki ambayo itatuhukumu kulingana na matendo yetu, na kila mmoja atalipwa ujira wake sawasawa na alichotenda wakati wa uhai wake.

Tuwatendee wema wahitaji na sisi tutalipwa mema kwa wakati wake.
Ulevi wa madaraka unapelekea upofu , tuzidi kukumbushana ndiyo maana tukawa wengi duniani .
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom