KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Wasiwasi wangu pesa hizo zitakuwa zimerudishwa Hazina kama taratibu zinavyotaka.Fedha Tokea 2021 Mpaka Sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi wangu pesa hizo zitakuwa zimerudishwa Hazina kama taratibu zinavyotaka.Fedha Tokea 2021 Mpaka Sasa
Na kiongozi wao je arudishe kijiti kwa nani? Maana Hana tofauti nao. Katiba mpya inahitajika, itupe uwezo wa kuwapiga chini wote wasio na maamuzi endelevu.Kuna wadada wengine bora warudishage vijiti tu kwa president, coz hata muonekano wao unasadiki yakuwa majukumu waliyopewa ni mazito kwao!!
Kazini hawana utendaji wa ubunifu, wametulia wakingoja kuelekezwa nini cha kufanya toka juu
Mtumishi wa umma hafukuzwi kama wewe unavyomfukuza bwanakoHakuna sababu za msingi wakati pesa ipo, fukuza hao sio kuwasimamisha kazi tuu.
Eheeee! utasikia litakalojiri alafu uje na Uzi wakoMtumishi wa umma hafukuzwi kama wewe unavyomfukuza bwanako
Takukuru haina uwezo wa kuchunguza jambo lolote liwalo
Chukua hiyo
Lucas msambwanda yafaa upewe cheo hicho tatizo huna elimuMimi sitafuti uteuzi maana najisikia fahari kuwa mkulima na kulilisha Taifa langu.
Huko watu posho za ajira Bado hawajapata hukoFedha Tokea 2021 Mpaka Sasa
Yale YaleFedha Tokea 2021 Mpaka Sasa
Hahahhaha kijana bado anahitaji uzoefu. Apewe nafasi za ndani ya chama kwanza.