Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ndio kipenzi.Kumiliki mtoto mzur inahitaj moyo mgumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kipenzi.Kumiliki mtoto mzur inahitaj moyo mgumu
Nimesilibwa na zegekwani haipitii !?
Sikua najua kama amekuoa mama. Nilivyojua ndo ikabidi niachane nae.Ooh my God
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nna mpango wa kuwa mwanasiasa lazma niwe na moyo mgumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Ila seriously nimetulia Ney wangu. Dont do anything reckless plz!
Nakuombaa![emoji120]
Hivi kwanini unataka kuniharibia ndoa yangu mzigua jamani,Unaona sasa. Basi tucheat kimya kimya si unaona nishapata mume eeh.
hahaaa wew unamdhalilisha mtoto mzuri kam huyo ..daaahh niachie mimi mkuu nikuonyeshe matumizi yake aiseeOyaaa! Ebu muacheee mi siyo heart breaker
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaaaa waache wapatwe na dege dege la ukubwani
There was nothing serious babe.Ex new bae ndicho nilichoambulia kutoka kwa mzigua
Leo utaongea kichina baby siwezi kuvumilia hii tabia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Eti unamfungulia mtu uzi afu anakuja kukujibu"hahahaa santeeee sanaaa my kaka mzuuuri but umechelewa nimeshawahiwaaaaa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kujiuza ndio mpango kwa mwanamke kwa nini wivu usikie jiraniAcha kujiuza shunie[emoji23]
Hearly anajichetua uyo kawaida yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaah
Ila kwa kuwa ali beep nadhani alivo pigiwa atakuwa alisha jiandaa
Khaaa jamani kwa nn hiviDictionary yangu kaazima demiss
Let me explain thisSikua najua kama amekuoa mama. Nilivyojua ndo ikabidi niachane nae.
mkuu..pambanaDaaaah
Unatongozea hapa hapa homeboy?
Usiniache bby.Hawana nia nzur hawa
Msamehe tuu.Ex new bae ndicho nilichoambulia kutoka kwa mzigua
Leo utaongea kichina baby siwezi kuvumilia hii tabia
Eti unamfungulia mtu uzi afu anakuja kukujibu"hahahaa santeeee sanaaa my kaka mzuuuri but umechelewa nimeshawahiwaaaaa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan Putin hapana jamani nakula ujue mpaka nimetema chakula kwa kuchekaHahaha mambo ya vlad hayo ahaha yani unaweza ukajikuta unaanza kufungua nyuzi nyingi ili kale kauzi kako kapoteee
Mara unakuja na uzi wa "ni kilimo gani cha maembe ambacho nnaweza kupata faida ndani ya miezi mitatu"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha mambo ya vlad hayo ahaha yani unaweza ukajikuta unaanza kufungua nyuzi nyingi ili kale kauzi kako kapoteee
Mara unakuja na uzi wa "ni kilimo gani cha maembe ambacho nnaweza kupata faida ndani ya miezi mitatu"