Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Haya ni mawazo na mtazamo wangu Tu na sio lazima ukubaliane na mimi!
Kwa jinsi mambo ya uvunguni ya shirika kubwa la misaada la USAID yanavyozidi kuweka wazi na jinsi myororo WA ushahidi unavyowaunganisha wanasiasa na watu maarufu, CIA, vyombo vikibwa vya habari,nk nchini Marekani naanza kuelewa "deep State" ni akina nani.
Naanza kuona kwa mbali kwanini baadhi ya tawala na wanasiasa kutoka nchi zetu za Afrika kwanini maovu yao huwa hayasemwi kabisa na viranja wetu akina USA, UK, EU, upo uwezekano hao ni mawakala wao na wanufaika Sana na utawala wao,
Hapo imeguswa USAID kidogo tu, ngoja nitulie nione mtanange huu utanifundisha nini zaidi maana sasa hivi nimejifumza kwamba kama ambavyo CCM wamefanya ufisadi WA kutisha ndio hivyo hivyo baadhi ya wanasiasa wa Marekani nao wanakwiba, ama kweli binadamu ni wale wale bila kujali wapo sehemu gani duniani.
Nawaza pesa tulizokopa kupambana na uviko 19?
Kwa jinsi mambo ya uvunguni ya shirika kubwa la misaada la USAID yanavyozidi kuweka wazi na jinsi myororo WA ushahidi unavyowaunganisha wanasiasa na watu maarufu, CIA, vyombo vikibwa vya habari,nk nchini Marekani naanza kuelewa "deep State" ni akina nani.
Naanza kuona kwa mbali kwanini baadhi ya tawala na wanasiasa kutoka nchi zetu za Afrika kwanini maovu yao huwa hayasemwi kabisa na viranja wetu akina USA, UK, EU, upo uwezekano hao ni mawakala wao na wanufaika Sana na utawala wao,
Hapo imeguswa USAID kidogo tu, ngoja nitulie nione mtanange huu utanifundisha nini zaidi maana sasa hivi nimejifumza kwamba kama ambavyo CCM wamefanya ufisadi WA kutisha ndio hivyo hivyo baadhi ya wanasiasa wa Marekani nao wanakwiba, ama kweli binadamu ni wale wale bila kujali wapo sehemu gani duniani.
Nawaza pesa tulizokopa kupambana na uviko 19?