Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Wakubwaa naomba kujuzwa.
Kume kuwa na kamchezo watu wananunua aina hii ya Magari yakiwa mabovu sanaa yamechakaa kisha hupelekwa Garage na kutengenezwa na kuwa mpyaa kabisaaa.
Kuulizia wanazengo wanasema huwa Magari hayo tajwa hapo Juu hununuliwa kwenye minada ya Serikali.
Hama tuu mtu binafsi.Sasa kuna Garage hasa ukanda wa Mkoa wa Arusha ndo huwa wana Deal nazo na kuzifyatua kuwa nzuri zaidi.
1. Swali langu je...??? Gari hizi zinakuwa na ubora gani...??? Hasa pale baada ya kutoka katika Garage zetu...?
2. Na niwapi Serikali hupiga mnada wa magari yale yalio tumika kwa kipindi kirefu...???
Na Je za kununua Hizi Mandolin used sana zinakuwa bei gani nakuipeleka Garage inaweza kuwa beigani....??
Asanteni kwa ushauri wenu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kume kuwa na kamchezo watu wananunua aina hii ya Magari yakiwa mabovu sanaa yamechakaa kisha hupelekwa Garage na kutengenezwa na kuwa mpyaa kabisaaa.
Kuulizia wanazengo wanasema huwa Magari hayo tajwa hapo Juu hununuliwa kwenye minada ya Serikali.
Hama tuu mtu binafsi.Sasa kuna Garage hasa ukanda wa Mkoa wa Arusha ndo huwa wana Deal nazo na kuzifyatua kuwa nzuri zaidi.
1. Swali langu je...??? Gari hizi zinakuwa na ubora gani...??? Hasa pale baada ya kutoka katika Garage zetu...?
2. Na niwapi Serikali hupiga mnada wa magari yale yalio tumika kwa kipindi kirefu...???
Na Je za kununua Hizi Mandolin used sana zinakuwa bei gani nakuipeleka Garage inaweza kuwa beigani....??
Asanteni kwa ushauri wenu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app