Degree bora ya biashara

Degree bora ya biashara

Yesar

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
300
Reaction score
17
Samahani wakuu eti ni degree ipi bora kwenye biashara
BBA
BCOM
BAF
BECA
BBF na nyinginezo msaada wenu naomba kuelimishwa
 
hii thread na mm itaninufaisha ngoja tuwasubiri ma grt thinkers watujuze...napiakunanyingine kama Ba in public sector accounting n finance na Ba in markerting n public relation nazo vp?
 
Ila BBA ina course nyingi xana yan ni multipurpose
 
Degree 5 ,bora 1.engineerin 2.law 3.medicine 4.architecture 5.accounting&finance , ,kwa hiyo accounting&finance ndiyo (baf) boraa kwa kuwa ipo kwenYe big 5,
 
Samahani wakuu eti ni degree ipi bora kwenye biashara
BBA
BCOM
BAF
BECA
BBF na nyinginezo msaada wenu naomba kuelimishwa

BAF au bachelor of accounting in public sector accounting finance and investigation ipo mzumbe ndo bora!
 
Mbona kwenye BBA iyo account na finance ipo xo unaxmaje
 
accounting ndo mpango...........kila mvuta kamba huvutia upande wake bhaaana
 
,kwani course content za baf,accountancy na bcom,bba ya account,. Zinautofauti gani,?ni majina tu hayo ambayo chuo inajiwekea ukifanya utafiti utakuta kidogo tu zinatofautiana labda ardhi ndo wameongeza unit na muccobs,lakn ukiingia deep kila .course ina purpose yake.mfano angalia bcom ya udsm na accountancy ya tia.hazna utofauti.hi logic nlipewa wizara ya fedha sabasaba trade fair.
 
Ehe ni kwel BBA hujumuisha
financial managment
princple of managment
princpal of accounting
marketing managment
production managment
managerial economics hapana chezea BBA
 
,kwani course content za baf,accountancy na bcom,bba ya account,. Zinautofauti gani,?ni majina tu hayo ambayo chuo inajiwekea ukifanya utafiti utakuta kidogo tu zinatofautiana labda ardhi ndo wameongeza unit na muccobs,lakn ukiingia deep kila .course ina purpose yake.mfano angalia bcom ya udsm na accountancy ya tia.hazna utofauti.hi logic nlipewa wizara ya fedha sabasaba trade fair.

eeeh kweli kutembea nako kunasaidia udadisi
 
Back
Top Bottom