Degree bora ya biashara

B.B.A naikubali sana,ipo multipurpose sana,kila sehemu unafit tu ndo maana kila nikitupia CV Yangu popote itangazwapo kazi lazima waniite kwenye intavyuu hadi nachagua mwenyewe pa kwenda,ingawaje GPA yng ni ya kawaida tu
 
teh teh pigamsuli kama mpigamsuli class mate , ila angalia chuokikuu sio kukesha

mwambie mapema dadae2,chuo co kukamia km unangojea necta y 4m6,huku n buku kmtndo,bash za hapa na pale na kusocoalize pia na wenzio!.pia ahakikshe hakos lecture mara kwa mara,tcha akitoa concept unaiassimilate fasta then una2lia 2lii!
 
mwambie mapema dadae2,chuo co kukamia km unangojea necta y 4m6,huku n buku kmtndo,bash za hapa na pale na kusocoalize pia na wenzio!

ahahahaaa! mi sijazoeaga kukesha bhana!
 


mbona waalimu siwaoni [EDUCATION]?
 

hahahahaa namba 19 inanihusu mimi inapatikana pale ardhi peke yake kwa tanzania, na university of nairobi kenya
 
Xo BBA ni kali kushinda yako au
 
Degree 5 ,bora 1.engineerin 2.law 3.medicine 4.architecture 5.accounting&finance , ,kwa hiyo accounting&finance ndiyo (baf) boraa kwa kuwa ipo kwenYe big 5,

Usipotoshe watu, accounting & finance ni jina hizi course za accounting & finance unasoma whether umechukua BCom ama BBA. Tofauti ya Course ya Accounting & Finance haina masomo mengi ya management kama zilivyo BCom na BBA.
Siku nyingine usipende kupotosha, sawa mkuu.
 

Nauhakika umesoma na kuelimika, sasa basi kabla ya kutoa maoni yako penda kufanya tafiti kidogo juu ya jambo unalotaka kusema.
BBA, Accounting haina tofauti kisilabasi na BCom, Accounting na BAF particular kwenye suala la professional ya uhasibu. Kuna watu wamemaliza BBA, Accounting hawajawahi kukamatwa CPA na maana walipiga single sit na kupata CPA ukitaka ushahidi nipm nikupe.
Isipokuw kozi za BBA ni mpya hapa kwetu na silabadi yake ni kubwa, Ina masomo mengi ya managements ukilinganisha na BAF na BCom, Accounting.
 
mh vp msuli wa BBA wadau

msuli ni wa kawaida tu mzee mzima cha muhimu ni kupenda kuhudhuria vipindi na kushiriki kwenye discussions na wenzako,ukiipata degree ya hyo course,utashangaa kila kazi inayotangazwa unafit,tengeneza G.P.A tu,hutajuta mkuu,kila la heri,halafu uzuri mwingine wa hii course ni kuwa ukiwa na mtaji kidogo tu we unakuwa mtu wa kufikiria kufanya business tu
 

Mwanaume mzima unasoma BBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…