Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,390
Ndg. Asubuhi nimesikiliza mjadala wa saa 2 katika ile platform ya Clubhouse ya mindset transformation. Katika mjadala huo watu watatu wenye degree zaidi ya nne na mmoja mwenye PhD kwa kudai kuwa kupata degree is just a paper na kwamba katika maisha yao hazijawahi kuwasaidia lolote.
Wamekwenda mbali zaidi kuwa Watanzania wengi wanaendesha maisha nje ya degree walizopata.
Wamepata wakati mgumu baada ya members kuwataka watoe ufafanuzi maana humo wapo vijana wanaosikiliza na wanajipanga kuelekea vyuoni lakini wamesisitiza tena kuwa mtu anayetegemea kutumia degree imsaidie anachemka.
Yamesemwa mengi lakini binafsi nikaona si vibaya nikaleta humu kisima cha great thinker tuidadavue maana hawa motivation speakers pasua kichwa.
Wamekwenda mbali zaidi kuwa Watanzania wengi wanaendesha maisha nje ya degree walizopata.
Wamepata wakati mgumu baada ya members kuwataka watoe ufafanuzi maana humo wapo vijana wanaosikiliza na wanajipanga kuelekea vyuoni lakini wamesisitiza tena kuwa mtu anayetegemea kutumia degree imsaidie anachemka.
Yamesemwa mengi lakini binafsi nikaona si vibaya nikaleta humu kisima cha great thinker tuidadavue maana hawa motivation speakers pasua kichwa.