Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.
NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]
NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]